Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
Gin nitatumia usiku. inaruhusiwa ankal?
Inaruhusiwa kabisa...so nitabeba pia na tonic za kutosha
Shemeji ZD utakunywa nini nawe?
Gin nitatumia usiku. inaruhusiwa ankal?
umepata, katoni mbili...
dah...valuer utakunywa na nini au kavu kavu?
ikiwa kavu ndio inakua ya ukweee! usinione hivi naweza.
orait...chupa tatu zinawekwa....utapenda Gin pia? (kwa kesho)
Gin nitatumia usiku. inaruhusiwa ankal?
Usijali wala huna haja ya kupata shida zote hizo,
Tukishaunga huu mchuzi nakuruhusu kaoge jilipue usepe zako,
Hata sisy usimwabie nitamalizana anye lol!
Shemeji...hujambo? Mi sijawaho sikia ODM ana MKE mwingine zaidi ya MKEWE wa kwanza....
Mie sipendi kuwa mtoa habari nisije nikamzidishia kuumwa.Wewe muulize tu yeye mwenyewe.....
Mwita Manyara ndio maana hii sherehe imegaiwa in three stages..... Ya kwanza babu anasheherekea na wajukuu (of coz na kuwakaguaz), Ya pili ni wooote hadi wageni waalikwa na wana MMU wooote. Ya tatu na mwisho hapo ndio nyie wakulu mwaingia hapo.... Nimeambiwa akina mama hatutaruhusiwa... sherehe kwetu itakua imeisha! lol
Kipipi ulikua wapi saa zote hizi mpaka kazi zimeisha?
Shem wa ukweee umenitosa hata wewe..Mie banta kubwa na maji makubwa ya Kilimanjaro kama kawa...Inaruhusiwa kabisa...so nitabeba pia na tonic za kutosha
Shemeji ZD utakunywa nini nawe?
Dah! Unahatari wewe mtoto..... Umenivunja nguvu.... Unaniruhusu nikutembelee kwa pm baadae?
Usijali wala huna haja ya kupata shida zote hizo,
Tukishaunga huu mchuzi nakuruhusu kaoge jilipue usepe zako,
Hata sisy usimwabie nitamalizana anye lol!
Shemu wangu sio rushwa hiyo,Canta umejifunza lini kuta rushwa......:A S-coffee:
Si unajua sera za husni,ww unafa no wonder unarithi mikoba. Husnyinyo mnoko! mwambie na yy aache!
Ha ha ha ADI, nashukuru kwa ufafanuzi wa ratiba na protokali. Nilimuomba ODM anikabidhi mjukuu wake mmoja ili niwe mdau wa kudumu wa MMU lakini bado hajasomeka!
Hiyo hatua ya tatu na ya mwisho itabidi na wewe ushiriki, kwakuwa unacheza namba zote uwanjani isipokuwa position moja tu! Lol
Sweetie the below habari.... Could you please provide the full details? Pleeeease Love....
Shem wa ukweee umenitosa hata wewe..Mie banta kubwa na maji makubwa ya Kilimanjaro kama kawa...
halafu nilisikiwa kuwa wanakwaya wanaongezeka kule kigangoni(Hongera kwa hilo).Bila shaka Mnamuimbia Bwana kwa matari na kucheza sasa.
Niliamka nikaenda kwanza shamba kumwagilia mboga zangu! Hope mambo sio mabaya manake naona jeshi ni kubwa na linashughulika vilivyo!!!
Shemu wangu sio rushwa hiyo,
Mpolee hajamaliza assignment anataka kwenda maktaba kujisomea,
Ndi maana nimemfanyia hako kampango,
Mmmh!shem nawe huna dogo?potezea basi,
Hizo katon zangu 3 za savanna nipata au?,ninampango wa kuzima kbs leo.
Ni kweli Dear... Hamna kilicho haribika kazi zooote zimeisha kabisa! wee nenda tu kavae na hakikisha you look lovable....lol
Shem wa ukweee umenitosa hata wewe..Mie banta kubwa na maji makubwa ya Kilimanjaro kama kawa...
halafu nilisikiwa kuwa wanakwaya wanaongezeka kule kigangoni(Hongera kwa hilo).Bila shaka Mnamuimbia Bwana kwa matari na kucheza sasa.
Cannot have a word on that mpenzi....lets nimekuwa mmbeya bure....Sorry love
Usijali shemu wangu,Hizo umepata, ila utaongeza bajeti ya ulinzi shirikishi in case ukizima.....:shock: