<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

STOP!! Mjukuu atamteuaje mjukuu mwenzie? Ushasahau mila zetu mara? haya mambo ya wakubwa yanawahusuje wajukuu? Hili ni jukumu lako na dada na mawifi zako kuteua mjukuu ambaye mnaona anafaa kwa hii kazi.....NEED I SAY MORE?



How can I say NO to my Darling shem? Lakini asubuhi umenigombeza saana shem..... I felt bad.
 
Kaizer,
Hapa ndo unakusudia kuonyesha kwamba umepoteza imani kwa ''my sweetie'' wako?


Haahaha Mwita...haijawahi kutokea na wala haitawahi...mlikuwa mmenipoteza,,,,uzuri keshado ze nidiful nimeelewa mtiririko sasa. Common sense imeshawasili
:A S-coffee:
 
Aaaah Antie yangu mbona sasa unasusa? Nakuomba unisamehe Auntie jamani. Mimi nakubali wewe uwe msimamizi mkuu wa shughuli hii, mie nilichukia kwa kuwa hukunipangia kazi jamani.

Babu niombee msamaha kwa auntie jamani



Haaaa!! Kwa post hii mbona nipo huru kabisaaaaaa!! Thank GOD! Naona sherehe itakua nzuri saaana leo.... ehe, tell me utavaa nguo gani, mimi hili jukumu nalivaa nakuanza kuwakilisha wajukuu kwa babu yako....
 
How can I say NO to my Darling shem? Lakini asubuhi umenigombeza saana shem..... I felt bad.
NOOO! It wasnt me...... kale kajukuu kalinifosi nibwatuke....kalitishia kuongeza speed ya dripu nisingefanya vile.... Sasa machungu ya Regia umesema bado hayakutoka, ulitaka uongezewe na ya ODM? No? do the needful basi lol
 
Umeona eeeh? Dawa yako uwe unatutembelea home juma pili ya Mwisho ya kila mwezi.... Ndio hua twakaribisha mashemeji woote kwa ajili ya lunch, walo ao huja na families zao zoote.... Karibu sana nyumbani.....

BTW Sorry about your name.


ADI,
If that is the case, nitakuwa makini sana jumapili ya mwisho wa mwezi huu ili nikaribishwe nyumbani, nani asiyependa kujiunga na familia bora!?

Worry not kuhusu jina, ni kawaida.
 
Haaaa!! Kwa post hii mbona nipo huru kabisaaaaaa!! Thank GOD! Naona sherehe itakua nzuri saaana leo.... ehe, tell me utavaa nguo gani, mimi hili jukumu nalivaa nakuanza kuwakilisha wajukuu kwa babu yako....
Aksante auntie kwa kunisamehe. Sasa naomba unichagulie nivae nini maana si unajua tena Babu asivyovipenda vidontachi vyangu! Nsijemchefulia siku na toothpicks zangu Auntie! Dera?!
 
aah sie tena! Shaka ondoa kabisa....lazima tuweke historia kwenye hii besdei bomba ya babu! Heshima yako haitapungua kabisa!

Shauri yenu kama mtalega, mzee hapa niwazidi kete kupendeza....lol

NOOO! It wasnt me...... kale kajukuu kalinifosi nibwatuke....kalitishia kuongeza speed ya dripu nisingefanya vile.... Sasa machungu ya Regia umesema bado hayakutoka, ulitaka uongezewe na ya ODM? No? do the needful basi lol


Usiwe na wasi.... Wajukuu hawa hapa nakabidhi.... MJ1 Apumzike kafanya kazi kubwa saana! Chagua hii list who you want afanye nini..


Smiles, Cantalisia, Michelle, Afrod, Feis buk, Husny, Daughter, Golden Mpolee, Obsesd, Kipipi, Mwali, Lizzy, (Khaa! wamekua wengi mno hebu anza na hao kwanza)
 
afadhali umerespond sisy roho yangu imetulia. Lol. Mdingi dawa ni kumwibia tu maana amezidi ubahili. Sahv nishajua password, nikitaka vocha navuta tu simu yake.

Mie nimetulia tu hapa nawasoma mnavyojazana ujinga........................
Happy Birthday Mzee Mwenzangu Asprin..............Hawa watoto weshanishinda maana kila siku kunipa presha tuuuuuuu......
 
ADI,
If that is the case, nitakuwa makini sana jumapili ya mwisho wa mwezi huu ili nikaribishwe nyumbani, nani asiyependa kujiunga na familia bora!?

Worry not kuhusu jina, ni kawaida.



Mwaliko kwa wanaume hua atoa mwaliko Sweetie, ngoja nikafikishe ujumbe and he will call you (labda kama mna bifu na siamini! lol)
 
Aksante auntie kwa kunisamehe. Sasa naomba unichagulie nivae nini maana si unajua tena Babu asivyovipenda vidontachi vyangu! Nsijemchefulia siku na toothpicks zangu Auntie! Dera?!



Khaaa!! Wee mtoto umeshinda na maderaa wakati unauguza na sherehe uvae hizo hizo.... Kweli umechoka dear.... Sasa naona kua Skirt nzuri saana yakufaa hapa ni nyeupe but ukiisogelea ka ina silver kwa mbali na vimaua... Kitambaa kama lace hivi.... ni charanga design, bouse yake ya kuenda na mwili ipo super ile mbaya, kwa stlyle ya nywele zako ukivaa na Wedges..... Usipime kabisa.... Hio umeipenda ama nikubadilishie?
 
Back
Top Bottom