Hii movie kuhusu viongozi wa CHADEMA imeandaliwa kwa kiwango cha chini mno na inaabua maswali mengi kuliko majibu kuzidi hata ile ya kutekwa kwa MO.

Na kwakuwa jambo hili linaonekana kugusa hisia za watu wengi na kuvuka mipaka ya nchi huku shinikizo likiongezeka, sitashangaa wakati wiwote wakatafutwa watu wa kubebeshwa lawama na hao wanaweza kuwa ni Sirro na pengine hata Boss wa TISS

Inawezekana Mama asiwe na wazo la kubebesha mtu lawama kwa makosa yake, ila wanasiasa wenzake na ambao ni wakongwe ndani ya chama, wanaweza kumshauri afanye uamuzi wa kuwato watu mbuzi wa kafara ili kulinda image yake.

Tuhuma hizi ni nzito, ngumu kuzithibitisha na inaonekana walizi-underestimate huku dunia ikifuatilia, hivyo ni lazima wajisafishe na katika kujisafusha huko, Sirro ndio anaeweza kuwa wa kwanza kubebeshwa zigo la lawama kwa kuondolewa katika nafasi yake huku Boss wa TISS nae akikalia kuti kavu.

Tusubiri.
TIS must select intelligent people, not just CCM-bound people with low intelligence.
 
Bi mkubwa si mweupe....

Weupe ni wale wanaotumika kutaka kusababisha nchi isitawalike....

#KaziIendelee
Uzuri ni kwamba kila kilichopangwa tulikijua kabla , Mimi nilikuwa wa kwanza kuandika kwamba MIPANGO YA POLISI KUMBAMBIKIA MBOWE MADAWA YA KULEVYA AU UGAIDI IMEKAMILIKA , Kwa bahati mbaya sana Moderator hakusoma alama za nyakati na kuamua kumerge uzi ule , unatakiwa ujue kwamba kila kinachopangwa tunakijua
 
Stori yenyewe inamkwenda hivi:
Mtu mmoja was Singida ALIJIDAI yeye mgonjwa,mgonjwa was akili,nadhani. Akalazwa hospitali Mwenge.
Halafu yule mtu akaamka usiku akataka kuiba,akaiba silaha chache(kutoka kwenye amoury ya Jeshi,Jeshi maana yake,JWTZ),chache maana yake mbili,tatu.
Mlinzi akamstukia,akamshugulikia. Yule mhalifu sasa yuko ahera.
Kuanzia hapo ndio kuna mjadala,watu wanapojaribu kuelewa exactly what happened. Yule mhalifu katoka wapi? Katumwa na Nani? All kinds of questions arise.
 
Shoots of hope withered at the roots
Great expectation turned
Great disappointment.
 
Naomba jeshi la police msituweke njia panda juu ya kesi ya Mh Mbowe! Wengi wanahusisha ni kesi ya kubumba iliyojaa usiasa tu na ndiyo maana mashinikizo ya kutaka aachiwe yamekuwa mengi.

Naomba Jeshi la Police kupitia kwa mkuu wake IGP Simon Sirro litoe taarifa kamili hasa Mh Mbowe anahusika kwa mauaji ya viongozi wapi wa Serikali au njama walizokuwa wanapanga wakitaka kuwadhuru wakina nani.

Maombi yangu ni hayo tu ili tuondolee tongotongo.

Wasalaam
Jf Member.
 
Sawasawa kabisa. Tuone sasa kama kuna mwekezaji atakaye kuja kuweka pua yake kwenye nchi yenye magaidi kama Tanzania.

Ubongo unapohama kutoka kichwani kwenda kwenye saburi ni shida!
Nigeria kuna ugaidi tena miundombinu ya watu wa mafuta na wafanyakazi wa kigeni wa makampuni hayo hutekwa na magaidi lakini uwekezaji kule unazidi kumea. Usititutishe wewe. Acha Mbowe achunguzwe kwa weledi na kina na polisi na kisha mahakama iachiwe ifanye kazi yake kwa haki. Akiwa hana hatia ama akikutwa na hatia mahakama itasema.
 
Uzuri ni kwamba kila kilichopangwa tulikijua kabla , Mimi nilikuwa wa kwanza kuandika kwamba MIPANGO YA POLISI KUMBAMBIKIA MBOWE MADAWA YA KULEVYA AU UGAIDI IMEKAMILIKA , Kwa bahati mbaya sana Moderator hakusoma alama za nyakati na kuamua kumerge uzi ule , unatakiwa ujue kwamba kila kinachopangwa tunakijua
RBC banaa...umejaa conspiracy theories....🤣🤣

Tajiri wangu nitakutafuta mwakani unipe AJIRA katika MABANDA YAKO YA SABASABA.....

Bwana Mbowe hatokuwa Rais wa kukuteua balozi UINGEREZA 🤣🤣
 
Naomba jeshi la police msituweke njia panda juu ya kesi ya Mh Mbowe! Wengi wanahusisha ni kesi ya kubumba iliyojaa usiasa tu na ndiyo maana mashinikizo yakutaka aachiwe yamekuwa mengi...
Endeleeni kuwa usingizini,hata wakati fulani ulikuwa mstari wambele kuwashabikia hawa maharamia kwa matendo yao dhidi ya wenye mawazo mbadala,bora kama naweumetoka usingizini.yote hiyo hofu ya madai ya Katiba mpya wanalazimika kurejea kwenye silaha yao kuu ya ubambikaji kesi.
 
Mama ni ceremonial president, kuna watu nyuma yake ndio wanatawala nchi.
Mmoja wao ni huyo Sirro.
Ushamsikia mama anatoa Amri yoyote?

Sirro akitoa maelekezo au amri basi ujue yametoka kwa mama rais SSH

Mdude Nyagali, Tundu na wenzao wakitoa maelekezo au tamko ujue vimetoka kwa mwenyekiti wao



Vinginevyo utaona uwajibishwaji


Upo!!???
 
Safi sana jeshi la Polisi. Pekueni, chunguzeni na fanyeni kazi yenu kwa weledi bila kusiasisha ili sisi watz tuendelee kutafuta mkate wetu wa kila siku kwa amani. Nawatakieni kazi njema!
 
Mimi ni kibaraka wa utulivu na amani ya Tanzania.....

Waswahili wanasema "TAJIRI HAKUNJIWI NDITA"...
Ndugu,

Unyonge huo, njaa inayodekezwa na woga WAKO ndio vinakufanya ushangilie udhalimu.

Katiba kuukuu iliyopo ni kwa ajili ya miungu watu na LABDA, tena kwa muda tu nyie vibaraka wao.

Ni aibu KUBWA kwa mTZ kuendelea kujivunia udhaifu wakati anastahili HAKI, heshima na maendeleo ya kweli kwa mujibu wa katiba bora.

Badilika sasa ili uepushe balaa ya kurithisha wanao na vizazi vyao matakataka hayo.
 
Baada ya upekuzi wa Polisi kukamilika nyumbani Kwa M.Kiti Mbowe, tumepokea taarifa za kushtua na kushangaza kuwa Polisi wamemwambia kuwa ataunganishwa kwenye kesi ya Ugaidi na watuhumiwa walioko gereza mojawapo DSM. Tutaendelea kutoa taarifa za kina hapo baadaye...
Watanzania tutaendelea na harakati za ujenzi wa taifa letu sio kufanya vurugu.

kamwe hatuko tayari kufuata nyayo za kigaidi.

watanzania hatuko tayari kuozea jela.
 
Back
Top Bottom