Uliweka pesa nije angalau tugawane..
Hela aliopiga Mayweather, hakuna timu ya soka duniani iliofikia kuwalipa mshahara wachezaji wake kwa full season.
Na wewe acha kuja na maneno ambayo hayapo kwenye kiingereza neno sahihi ni anonymous.Hilo uliloandika ni kiingereza cha sitimbi.
hivi hadi mashoga huwa wanafatilia ngumi?
uko sawa mkuu ila meiweza amezaliwa kuja kuharibu utamu wa boxing kama mourinho alivozaliwa kuharibu soka,,, ujue kwa mimi na wewe huku mtaani hatufaidiki na ushindi wake wa point ispokua tunafrah akimpiga mtu mkubwa kama pacman kwa tko. we mwenyewe apo unafurah tu ilimradi ila moyon unajickia kuna ka walakin flan!! anyway bata wapi leo usherehekee ushindi na PERIOD zako??!
Umekuja mbio utafikiri wewe ni mshabiki wa box.hata jina la kuandika hujui.MAYWEATHER
Swissme
pamoja na kanuni iyo,ukiangalia repray weather kapigwa ngumi nyingi kuriko pac,bora ili lile aliloshinda la 47 na Argentina boxer haa weather alipigwa hata uwezi amini matokeo leo kwa kuwa wengi walikua na tension ya kuona ndio imejulikana na hiyo sheria mm nilikua siijui baada ya kufatilia hii lugha ya annonymous decion ndio nikajua wanatumiaje ktk ngumi. Kama hili pambano lilovuta hisia za wengi matokeo ivi ya nyuma yale mengine si alibebwa live live ili kulinda record Tyson alisema pac yupo zaid ya weather.
Man 2 man myweather hawezagi, lakini ndy hivyo majaji washampa ushindi
Kabebwa
mcheza kwa hutunzwa
Floyd kachapwa mbaya kabisa.
weather kapigwa ngumi nyingi za point kuriko pac.
Kuna watu huwa mnachukulia mambo ya kipuuzi serious sana,sasa kulikua kuna umuhimu gani wa kumuhusisha mama hapo, pesa wachukue wengine povu likutoke wewe hata kaverossa hauna na kesho kuna mgomo pumbavu sana.
Holyfiel naye anakua kama hajui ngumi bana
Unawezaje kusema pac kashinda
Kwa macho ya wasiojua ngumi unaweza "kudhani" pac kashinda lakini kwa wanaojua ngumi huu ni moja ya ushindi mwepesi kabisa kwa may
Salute mkuu, kuna kitu watu hawajui kuwa zile ngumi za kuacha mtu upigwe wee zimepitwa na wakati, siku hizi watu wanapigana kisayansi, mtu akiachia guard anapigwa moja bila-knock out, otherwise ni namna ya kutafuta point tu. Sasa hapo Mayweather ndo king of the ring, anapiga na kuondoka, hata uwezo wake wa kukwepa kama nyoka ni wa hali ya juu. Kwa style ya man Pacquiao nilijua ni ngumu kumpiga jamaa. Maana sio wa ile style ya piga nikupige. Halaf muda wote Mayweather anaweka distance kati yako, hataki k.o za suprise. Wanaopenda piga nikupige labda waangalie you tube pambano kati ya Lennox Lewis Vs Vladimir klischtko. Other wise nilitegemea hivi. Hakuna cha mtu kupendelewa wala nini, watu walikuwa na imagination zao tuWanaosema Mayweather alikuwa anakimbia kimbia ni wazi hawajui boxing, au wanaijua lakini hawawajui boxers husika. Money anajulikana kama Defensive genius, a ring general, ukikutana nae lazima aitumie ring to his advantage na hapendi kichwa chake kiguswe. Alikutana na Attacking Machine, ila kam-neutralize Mshkaji mpaka kashindwa kufanya anachofanyaga kwa ufanisi.
Kifupi ni kwamba Money anajaribu kutengeneza mkwanja na legacy(kashatengeneza actually) while trying to fight responsibly ili badae afurahie mafanikio yake kwa muda mrefu. Ali hakuwa akiogopa ngumi, yuko wapi leo? Bomba za Foreman na wengine ndio zimemfikisha hapo. Mayweather hataki kuwa hivyo.
That may not be the greatest fight ever, but it's no doubt the greatest boxing event in history, hands down.
siwezi kukataa ushindi wa may.lakini ushindi wake siku hizi umekuwa wa kitoto na utata.hata kwa marcos hakushinda kama dume as alivyoelezewa na watu humu.ni mtu wa kukimbia kila dakika akikwepa kuangushwa.kuomba msaada wa kamba kila dakika ni bonge la udhaifu.angesimama nakufight sio kuruka ruka akisaka mchezo uishe wamarekani wenzie wampe ushindi.kwenye boxing anachokifanya ni upuuzi t
Kwa mazingira ya sheria ya annonimous decision atapigana mpaka mapambano hata mia bila kupigwa, lile na m Argentina alipigwa na hili kapigwa..sheria inambeba.hana uwezo wa kupigana mapambano makali asipigwe kazuia muda woote.
ujue ata mi nilikua nawaza wangeweka sheria game kali kama hizi hakuna kuamua mshindi kwa point ni unapigwa mkono mpaka bondia aseme bas make ata mie naona mayweather ameshinda kwa mpango wa "saidia taifa stars ishinde"