Baba Mkali
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 810
- 813
Congrats to you too Best. Naona timupakiyao wamenuna sana wanadhani ushindi unapatikana kwa kurusha ngumi hewa lol!
Kabebwa
Mpambano umeisha na mzizi wa fitina Kwisha
Mshindi ni FLOYD MYWEATHER
na mama yako
Kwa mazingira ya sheria ya annonimous decision atapigana mpaka mapambano hata mia bila kupigwa, lile na m Argentina alipigwa na hili kapigwa..sheria inambeba.hana uwezo wa kupigana mapambano makali asipigwe kazuia muda woote.
na mama yako
Hahahaha mkuu basi tena hapo ndio JUA LISHAZAMA tayari subiri pensheni yako tu.Whaaaaaaaaaaaaaaat????? I'm 32, nitakua nimechelewa sana kuanza ngumi? Nimepata wivu sana. Ha ha haaaaaa.
siwezi kukataa ushindi wa may.lakini ushindi wake siku hizi umekuwa wa kitoto na utata.hata kwa marcos hakushinda kama dume as alivyoelezewa na watu humu.ni mtu wa kukimbia kila dakika akikwepa kuangushwa.kuomba msaada wa kamba kila dakika ni bonge la udhaifu.angesimama nakufight sio kuruka ruka akisaka mchezo uishe wamarekani wenzie wampe ushindi.kwenye boxing anachokifanya ni upuuzi t
For the first time u have chosen wrong side baby
Team pac aka ngumi nyingi kama cherehani
Kwanza rudi shule ukasome kiingereza ndio useme mbele ya watu.
Anonimous ni mtu ambae hajajulikana. neno sahihi hapa ni UNANIMOUS. yaani matokeo ya majaji walio wengi.
Hebu nenda BBC ukaangalie statistics za mchezo ndio uje uongee. Pacquiao amedundwa kisawasawa.
siku nyingine jitahidi kua na FACTS kabla hujajionyesha kwamba hujui.
Kiukweli Myweather kajitahidi sana round ya 5 na 9... huku kwingine chenga tu.. anapaki basi mbele ya familia hadi Myweather Sr anamfokea.
#team_pacMan