Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,104
vip jamani?
Kuna mtu kaibiwaa?thomasssssss!!!!
vip jamani?
Mayweather utadhani kocha wake Morinho
Pamoja na Money kushinda hili haliwezi kulinganishwa na mapambaono kama yale ya Ali na Foreman, Ali Frazier na yale ya Tyson akiwa kwenye peak.
khe khe khe khe Judges alikuwa wanacount Mayweather footsteps not punches.. Wewe haitokuuma maana ulikuwa unasubiri mshindi basi urudi kulala.. Ila wale jamaa zangu waliokesha bar kusubiria pambano badala ya kulala na kuamka saa 12 kama nawaona walivyomind..
Ah wapi!
Siwezi ku-wager chochote ktk masumbwi.
Ona kamaa huu upuuzi ulioisha?
Yaani niliwe hela kirahisi hivyo? Nope.
wewe unafurahishwa na pambano lilivoenda kulingana na kelele za mediawanaangalia point alaf zile ngumi nyingi za pac zilikuwa zinaishia kwenye mikono
Alipaki basiAnapaki bus.!
kwani ye anasemajepacquiao amedhulumiwa ushindi wake. Unategemea nini majaji wote walikuwa wamerekani