Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Uwe mstaarabu acha ujinga. Mambo ya kubishana haya ndo mhusishe mama wa mwenzio. Ifikie kipindi tuheshimu wazazi. Jiulize ingekuwa wewe unatajiwa mzazi wako kwenye mambo ya kipuuzi kama haya utajisikiaje!

usimlaumu. mtu ambaye hajalelewa malezi bora hawezi kujua umuhimu wa mzazi. huwezi kumdharau mzazi wa mtu kama wewe unamthamini mzazi wako.big up bro.
 
Uwe mstaarabu acha ujinga. Mambo ya kubishana haya ndo mhusishe mama wa mwenzio. Ifikie kipindi tuheshimu wazazi. Jiulize ingekuwa wewe unatajiwa mzazi wako kwenye mambo ya kipuuzi kama haya utajisikiaje!

Nahisi humu watu vichwa vyao havipo sawa...ingawa kwa nje wanaheshimika kwa nguo zao nzuri.....
 
Tatizo poti upenzi umezidisha. Floyd alikua bora kuliko Paqc amejirinda vzr sn na ameshambulia point nyingi kuliko Paqc Na pia Leo kwa Mara ya kwanza ndio nimeona Paqc kalazimishwa kuacha aina ya uchezaji wake Na kucheza kwa kumfata mwenzake. Maana Na yeye kajilinda hakua Na kasi ya kushambulia alienda kwa akili kila round tofauti Na mapambano mengine.

Daaah ni kweli kamanda, yani siko na furaha ya ushindi mtu mweusi mwenzangu.. lakini i think kuna reason nyigi behind.

turudi darajani baba
 
Manny Pacquiao:

It was a good fight. I got him many times. I saw the punches. I thought I won the fight. He is moving around, it is not easy to throw a lot of punches. I can handle his power. He is not strong like some others. He's not bigger than me, the size doesn't matter, I have fought bigger guys.

A clear champ statement..
 
licha ya pambano kutokidhi mategemeo waliyokuwa nayo watazamaji wengi lakini bado Mayweather kashinda ukisoma takwimu za majaji labda kama takwimu hizi si za kweli....

Takwimu ni za kweli mkuu,haiwezekani all judges wakawa wrong...ila tu ni vile watu wengi walitarajia Pac awin.
 
weka hela yako kwa Mayweather...huyu anamashambulizi ya kushustukiza na wote waliompiga Pacqiao wanatumia style kama yake.

Paqc anasumbua sn akiwa uringoni lkn kwa hivi karibuni ameshuka kidogo...mchezo utakua mkali sn na Wa vuta nikuvute lkn mwisho Wa siku Floyd hatoruhusu zile ngumi nyingi za Paqc ziguse kichwa chake kwasababu jamaa anajua kukwepa ngumi ni mwepesi akiamua jamaa ana radha zote....

Mi nasema wazi km Paqc atashinda labda kwa point tu lkn vinginevyo Paqc lazima apigwe kwa KO mbaya

Haya bwana kaka zangu nimewakubali.
Mmetisha saaana!
:thumbup::thumbup::thumbup:
 
Daaah ni kweli kamanda, yani siko na furaha ya ushindi mtu mweusi mwenzangu.. lakini i think kuna reason nyigi behind.

turudi darajani baba


Ukitazama vzr huo mchezo utaona utofauti mkubwa Wa uchezaji Wa mabondia wote tofauti Na michezo yao ya zamani. Walijiandaa vzr sn kila mmoja alijiandaa vzr Na kumsoma mwenzake vzr Zaidi.

Lkn kwa Floyd yeye ameoneka kutimiza mikakati Yake. Amejilinda vzr ameongeza kasi ya kushambulia Na amekuwa mwepesi sn ktk ring.

Twende darajani Mkuu tukakabidhiwe kombe Leo.
 
ImageUploadedByJamiiForums1430650410.359451.jpg
#TMT
ImageUploadedByJamiiForums1430650452.474984.jpg
Teh teh teh kibanda umiza kuna mambo aisee...


Naona #TeamPac wamelala wooooote bado hawajaamka
 
Kwa mazingira ya sheria ya annonimous decision atapigana mpaka mapambano hata mia bila kupigwa, lile na m Argentina alipigwa na hili kapigwa..sheria inambeba.hana uwezo wa kupigana mapambano makali asipigwe kazuia muda woote.

!
!
wewe umerogwa sio mzima!.....si bora unyamaze tu.
 
Haya bwana kaka zangu nimewakubali.
Mmetisha saaana!
:thumbup::thumbup::thumbup:

Uliweka pesa nije angalau tugawane..
 

Attachments

  • 1430653846024.jpg
    1430653846024.jpg
    10.2 KB · Views: 224
  • 1430653870401.jpg
    1430653870401.jpg
    18.9 KB · Views: 228
Ujinga Ujinga tu Weather kashindaje pale? Uzuri sijapoteza hata thumni yangu kwenda bar, zaidi ya kuamka saa 11, Ngoja nsubiri Simba na Azam tu....

afadhalimimi nililala kwanza ndiyo naamka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom