kui
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 6,467
- 6,500
I want a REFUND. What a joke!.
Lol!, heri mimi sikubeti!
I want a REFUND. What a joke!.
I thought it was supposed to be the fight of the century! That was pathetic! May alikuwa anakimbia tu ulingoni round zote 12 kama nilivyosema kabla ya game halijaanza.. Alafu anajifananisha na Mohamed Ali..defence before attack and attack when ur enemy lose a chance hiyo ni qoet ya muhamed alli yeye ndo bingwa wa kucheza na ring anakimbia muda wote
oneni hii kenge jamani
Wote wale ambao wamemkataa may nafikiri kunakitu moja ambacho wamekosa uzalendo wa rangi hawana tofauti na waafrika kusini hawana tofauti na wake na mademu zako wanao ukana uafrica huku wakituvalia mawigi ,waving na kaxalika ili mradi tu kuonekana kuwa yeye cyo mwaafrica nitaendelea kuipenda rangi yangu na weusi nyeusi ndo rangi inayonivutia sana hata sanda nizikwe na nyeusi
kheeee
na wewe upo hapa unafatilia mingumi,sasa shemeji umemuacha na nani?"ene wei"karibu.
Jee wewe ni team "money" or team "pac"?
Let's get it straight.
Pacquiao hakupigwa.
Alishindwa kwa pointi tu.
Yeye na mpinzani wake hakuna aliyetokwa hata na tone la damu.
Hakuna aliyechanika au kupasuka uso.
Wote walitoka kama walivyoingia, nyuso zao zikiwa hazina alama yoyote ile.
Wapenzi wa kweli wa masumbwi tumeshaona vipigo vya ukweli.
Jana hakukuwa na kipigo cha aina yoyote pale.
Hata katika 20 bora ya mapambano mazuri ya masumbwi, mpigano wa jana hauwezi kuwemo.
So go figure!
I enjoy my life and i never categorize as it being anything. I also watch top gear and follow up car racings and football. I dont blame the poor gal kwa kunishangaa hahaha.
Cc Kongosho (usiseme naangalia cartoon pia)
Tulikuwa tunafuatilia pamoja, bega kwa bega. Mkikutana wote kichaa chenu kinafanana hamuhitaji dawa, manake kichaa kinawaweka pamoja
Jamani rangi kijani inawakishanga nn?wadau naomba nifafanulieni ili kila kwenye kiu apate maji
Acha kuongeza chumvi banaa, dunia gani unayoishi wewe? ya kusadikika? Sema baadhi wanapinga ushindi lakini siyo kuongeza chumvi eti dunia nzima.
I want a REFUND. What a joke!.
Suala siyo dunia nzima, bali pambano lenyewe Halikufikia viwango vinavyostahili kwa pambano lililoitwa la karne! Lilikuwa na msisimko sifuri mwanzo mwisho! Mimi nilitarajia hivyo mapema nikalipa jina la mpambano wa wavulana! Watu waliwasikiliza wapiga dili wakaona kila anayesema kitu tofauti hajui kitu! Ulitegemea nini kutoka kwa mabondia wa kilo 66! Ulitaka kuona masumbwi kama ya Tyson? Kama ni hivyo basi ulikuwa unasubiri ndege bandarini! Wajanja wamepiga dili la karne na mabondia wote wawili ni kama wameokota hiyo pesa! Hakuna hata mchubuko! Hata mapambano ya Matumla huwa na msisimko kwa mashabiki kuliko tulichoshuhudia jana!
He he he, usiniambie hukulala unafuatilia mpambano?
Kikubwa ni ku enjoy bana the way you see it fit. Talking of Top gear, eti yule mbaba kafukuzwa kazi, anayeongoza kipindi anaitwa Jeremy? Yule kijana kanipa update hizo.
Kuna new cartoon in town, nitakuambia jina lake later, na ku invite pia for a cartoon movie date nyumbani, uje na drinks tu.:becky:
Hivi kwanini hawa jamaa walipigana?
hapo ndipo unapoleta urasisti mkuu hapa hapaja ongelewa rangi wa kabila tunaongelea ngumii wee vp ushapiga viroba ninWote wale ambao wamemkataa may nafikiri kunakitu moja ambacho wamekosa uzalendo wa rangi hawana tofauti na waafrika kusini hawana tofauti na wake na mademu zako wanao ukana uafrica huku wakituvalia mawigi ,waving na kaxalika ili mradi tu kuonekana kuwa yeye cyo mwaafrica nitaendelea kuipenda rangi yangu na weusi nyeusi ndo rangi inayonivutia sana hata sanda nizikwe na nyeusi