Zimebaki siku kumi tu tujionee nani mkali? Ukumbi utafurika safari hii, ingawa hakuna aliepata tiketi sijui zitafika $ ngapi? Pac anaweza kumchapa jamaa kwa muono wangu wewe je
Km Marquez alimchapa Paqc kwa KO mbaya kabisa kwanini Floyd Mayweather ashindwa na ana ngumi nzito kuliko Paqc?
Konde la bahati,mpaka ko inatokea Marguez alikuwa nyuma kwa point,lewis alipoteza kwa Rahman kule SA kwa hiyo luck punch,katika rematch Rahman akapigwa kwa ko 5round,Rick Hatton alipigwa na Mayweathear ko ya round ya 11,alipocheza na Pacman akapoteza kwa Round 2...
mi niko upande wako ingawa sina sababu nyingi za msingi, kila nikikaa naona man pac anapigwaIwe bahati au vp ninachoseama Paqc alipigwa. Na huu mchezo upo uwezekano mkubwa Wa Paqc kubwa kwa ko mbaya tena maana Floyd Mayweather sio km Marquez.
Dah,hadi sasa nashindwa kubet kwa nani atakayeshinda hili pambano.
weka hela yako kwa Mayweather...huyu anamashambulizi ya kushustukiza na wote waliompiga Pacqiao wanatumia style kama yake.
weka hela yako kwa Mayweather...huyu anamashambulizi ya kushustukiza na wote waliompiga Pacqiao wanatumia style kama yake.
Iwe bahati au vp ninachoseama Paqc alipigwa. Na huu mchezo upo uwezekano mkubwa Wa Paqc kupigwa kwa ko mbaya tena maana Floyd Mayweather sio km Marquez.