Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Bora hata like pambano la Wema sepetu na wolper (mnisahihishe nikiwa nimekosea) pale Taifa kwenye lile Tamasha miaka ileee
 
Utata uko wapi wakati judges wote unanimously wamempa Floyd?
Angalieni in slow motion round zote majibu mtapata unless mna makengeza
Pac ni mtoto
Go Floyd
 
wamarekani kwel hawashindwi kitu,fitna pia wako vizur hivi katika ulimwengu wa sasa unaweza kumdanganya mtu?pumbv kwel hawa man pac kashinda kwa mtu aliefuatilia mwanzo mwisho,au kama vigezo vya ushindi vimebadilika ni vyema tukajuzwa mtu kupanch tu kashinda kheee

Acheni akiri mgando bwana kurusharusha ngumi hovyo usifikiri ndo kushinda,hizi city ngumi za mtaani kama kwao Dia,Nmecheki round zote PAC karusha ngumi nyingi xana na yko faster xana,xema hatumii akr Floyd ana akr na technic nyingi xana,anakwepa xana anajrinda xana na Ana accuracy na ngumi zake. Ndo maana kashinda, Mwenyewe alijua anapointi nyingi ndo maana kaanza kushangilia Mara tu kuisha kwa round ya mwisho, Kila kitu shule na hili halina ubishi Floyd anatumia akiri xana!
 
Bora hata like pambano la Wema sepetu na wolper (mnisahihishe nikiwa nimekosea) pale Taifa kwenye lile Tamasha miaka ileee

Kabisa, hili pambano lilikuwa kali zaidi ya hili lililokiwa na mamilioni. Mayweather hamuwezi hata Wema ktk aina zote za ulingo.
 
Utata uko wapi wakati judges wote unanimously wamempa Floyd?
It's not about how many punches you throw, but how many punches landed.
Angalieni in slow motion round zote majibu mtapata unless mna makengeza
Pac ni mtoto
Go Floyd
 
Acheni akiri mgando bwana kurusharusha ngumi hovyo usifikiri ndo kushinda,hizi city ngumi za mtaani kama kwao Dia,Nmecheki round zote PAC karusha ngumi nyingi xana na yko faster xana,xema hatumii akr Floyd ana akr na technic nyingi xana,anakwepa xana anajrinda xana na Ana accuracy na ngumi zake. Ndo maana kashinda, Mwenyewe alijua anapointi nyingi ndo maana kaanza kushangilia Mara tu kuisha kwa round ya mwisho, Kila kitu shule na hili halina ubishi Floyd anatumia akiri xana!

uandishi gani huu???
 
Acheni akiri mgando bwana kurusharusha ngumi hovyo usifikiri ndo kushinda,hizi city ngumi za mtaani kama kwao Dia,Nmecheki round zote PAC karusha ngumi nyingi xana na yko faster xana,xema hatumii akr Floyd ana akr na technic nyingi xana,anakwepa xana anajrinda xana na Ana accuracy na ngumi zake. Ndo maana kashinda, Mwenyewe alijua anapointi nyingi ndo maana kaanza kushangilia Mara tu kuisha kwa round ya mwisho, Kila kitu shule na hili halina ubishi Floyd anatumia akiri xana!

Mpk umuelimishe mbongo c kazi ya kitoto mkuu.MTU anaona jamaa kashindaa kabisaa bado anabishaa yaan kazi kweli kwelii
 
CED4QuRUUAAq5NP.jpg
 
Tukiweka ushabiki maandazi kando, 'maiweza' kachezea kichapo.
 
Utata uko wapi wakati judges wote unanimously wamempa Floyd?
Angalieni in slow motion round zote majibu mtapata unless mna makengeza
Pac ni mtoto
Go Floyd

Mbali na ushindi wa Floyd, the game was not fantastic, I didn't see that stimulation punches in both side, mayweather ndio anatakiwa kulaumiwa kwa kucheza kiuoga.
 
Mtakula maneno yenu leo.
Utata uko wapi wakati judges wote unanimously wamempa Floyd?
It's not about how many punches you throw, but how many punches landed.
Angalieni in slow motion round zote majibu mtapata unless mna makengeza
Pac ni mtoto
Go Floyd
 
ujue ata mi nilikua nawaza wangeweka sheria game kali kama hizi hakuna kuamua mshindi kwa point ni unapigwa mkono mpaka bondia aseme bas make ata mie naona mayweather ameshinda kwa mpango wa "saidia taifa stars ishinde"

Hata Jana Yanga kacheza lkn mshindi ni Etoile
 
Nilichosema juzi ndio kinatokea sasa, Niliwaambia huyu Pacquiao wenu akipigwa lazima mje na visingizio.
 
Back
Top Bottom