Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

shikamooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! mjomba maywealther
 
nafananisha hii kitu na movie moja ya robot zinafight.owners wa robot moja walikuwa wachina flani hivi na robot yao ilikuwa termed as undefeated nyingine ilikuwa ya dogo mmoja hivi ikawachapa wachina undefeated but wale wachina coz walikuwa na power kwenye game kitambo wakashinda kwa point dogo alitaka kulia but watu wakampigia shangwe yeye kuliko yale machina...same thing,same game...nahisi ile movie ni unabii wa hili pambano
 
fight-4_3289874k.jpg

Brothers wakipata hela tu, wanahama gheto wanachukua hizi blonde type, ndio maana sisters are so angry with this interracial thing.
 
Haya wale washamba wakujifanya wanaijua grammar mmeiskia English ya Pacman? Ngeli hajui ila kakunja mil dala.. Mkae muanze kukosoa sasa
 
lol! hahahahahah haya Mkuu kaweke mbavu sasa na kumbuka kesho ni Jumapili tayari huna sababu ya kuamka mapema, labda kama unaenda kuabudu.

Tumeliwa... Well, It's past 1 in the morning, sayonara people!.
 
Manny believes in God(according to him), + ana nchi nzima nyuma yake inamuombea mazuri kwenye hili pambano. Kwa upande wa Money, ye anaabudu money, period.
So? Sioni ni kwa namna gani inamfanya Manny awe ni mshindi. Watu wanaamini Mungu na wanauawa kwa ajili ya imani zao, huoni kwamba hiyo ni kubwa zaidi ya hii ya kupoteza mechi ya ngumi?
 
wewe unafurahishwa na pambano lilivoenda kulingana na kelele za media

Kiukwel wametuibia. Kelele nyng hamna kitu. Haina tofaut na lig ya Uingereza. Kelele nying, mpira mbovuuuuu....
Bora hata Uingereza kdg mara moja moja unaweza bahatisha mechi nzuri. Hawa wafanya biashara wawili leo wametuibia. Pambano bovuuuuu
 
Kwa wale wasiojua ngumi......kurusha ngumi nyingi sio ndio wingi wa point....je ngumi zako zinafikia target zenye kukuwezesha kupata point....?? nikimtazama bondia wangu leo PACMAN ni kama alitumia style ya kurusha mangumi kama njia ya kujilinda lakini si kwa lengo la kushambulia lakini mzee wa misifa alikuwa anashambulia...kwa maana ya kwamba kila ngumi yake ilikuwa ina hit the target......kwa wale wanaojua mchezo wa ngumi teknikale watakuwa wameshanielewa....niliwahi kusema kuwa defence skills ya PACMAN haiko makini ndio maana huwa anatumia muda mwingi kutupa makonde...akiwa na malengo mawili kushambulia huku akimfanya adui asimkaribie....lakini pia ana udhaifu katika kurusha ngumi za aina ya hook....na uppercut.......anatumia muda mwingi kurusha jab ambazo kwa bondia makini kama Mayweather haziwezi kuwa na madhara......kitu kilicho mnyima ushindi PAC MAN ni kurusha ngumi nyingi zisizo na muelekeo huku akikosa umakini katika kuimarisha ulinzi ,hali iliyofanya Mayweather kushambulia huku akiwa na uhakika wa kulenga target kila apatapo nafasi.....kushambulia muda mwingi kwa kutumia jab pekee kumemfanya Mayweather kuwa huru mchezoni.....na kufanya counter attack zenye mafanikio..........THAT IS BOXING GAME
 
Ha ha ha ha teh teh teh lazima mtakua walalamishi tu kutafta visingizio.Yani nikefurahi sana waliokesha bar tangia SAA Tisa na kuweka bond mtu wao kapigwa pole yao.May money kiboko mkaanza kusema Mara oooh maigizo mda ndo umeamua.Ngoja nikauponde usingizi wangu kiroho safi.Ukiona manyoya jua ameliwa.

Hata manyoye yenyenyewe hayajabakizwa jamaa kala mpk manyoye
 
And the fight is finally over! Ngoja tuendelee kutafuta mawe sasa.
 
Naona dollar mia yako ya package imeenda kitapeli kaabisa mkuu!wazungu wababaishaji sana

Hata huko kwenye twitter watu wanatoa sentiments kama zangu.

Washindi hapo ni Mayweather na Pacquiao.
 
Ah wapi!

Siwezi ku-wager chochote ktk masumbwi.

Ona kamaa huu upuuzi ulioisha?

Yaani niliwe hela kirahisi hivyo? Nope.

Upo sahihi mkuu, too much hype at the end ni upuuzi mtupu. Hela nying sn imepotea kwny pambano la kitoto vileeee
 
Tupieni Utube Na Sisi Tushuhudie Hicho Kiini Macho Kwa Sisi Tunaoamka Sahivi.Kwa Upuuzi Kama Huo Walioufanya Kukesha Ni Ungese Tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom