Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Mpambano umeisha na mzizi wa fitina Kwisha
Mshindi ni FLOYD MYWEATHER
 
fight-bow-wow_3289864k.jpg
 
Mnataka Kutuambia Kua Sisi Ambao Tupo Kitandani Mpaka Sasa Ndo Tumeenjoy Da Fight.Kuliko Nyie Mlio Kesha.
 
Waoliwa pesa kununua (PPV) ndondi inabidi wadai pesa zao. Karne hii si ya kulipia ndondi/mieleka wala soka online.
 
Teh teh teh teh sa ivi ndo unaponda eeh pole kanywe juice ya ndimu pooooooooole unaona faida ya maigizo sasa .Heeeeeeeh poleeee eeh.

khe khe khe khe Judges alikuwa wanacount Mayweather footsteps not punches.. Wewe haitokuuma maana ulikuwa unasubiri mshindi basi urudi kulala.. Ila wale jamaa zangu waliokesha bar kusubiria pambano badala ya kulala na kuamka saa 12 kama nawaona walivyomind..
 
Pamoja na Money kushinda hili haliwezi kulinganishwa na mapambaono kama yale ya Ali na Foreman, Ali Frazier na yale ya Tyson akiwa kwenye peak.

Ah wapi!

Siwezi ku-wager chochote ktk masumbwi.

Ona kamaa huu upuuzi ulioisha?

Yaani niliwe hela kirahisi hivyo? Nope.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom