FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Dah nisije nikazima kwa pressure mie, wacha nijifunike nisione kinachoendelea
 
Li calhanorgu limefanya yake dah ila hii teknolojia ya VAR, barca mtafute beki tu.
 
Yamal kaja kwa majivuno Sana
Naona wanampaisha sana hadi hawa commentator nao nimewaona wana hiyo kitu.

Kuna mmoja katoa nukuu sijui ya nani kuwa eti baada ya ile game ya kwanza jinsi dogo alivyo perfom anaona kama sasa ameshaona kila kitu na sasa yuko tayari kufa kwa amani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom