hydroxo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 5,475
- 12,023
Mzee acha utani.Scoring instinct ipo chini mno.
Timu kama inter kukutangulia goli mbili na kuchomoa sio mchezo.
Ukiangalia goli zao mbili ni kushindwa vzuri kuicheza mipira ya kona.
Kinyume na hapo hawana cha maana wanachocheza.
Mpira kila mtu kauona.