FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Scoring instinct ipo chini mno.
Mzee acha utani.

Timu kama inter kukutangulia goli mbili na kuchomoa sio mchezo.

Ukiangalia goli zao mbili ni kushindwa vzuri kuicheza mipira ya kona.

Kinyume na hapo hawana cha maana wanachocheza.

Mpira kila mtu kauona.
 
Sisi Madrid haya matokeo yametufurahisha, ila ya sunsiro yatatufurahisha zaidi.
BRCA OUT
You simply can't beat us this season
Gpf3z3maYAA2Tmy.jpeg
 
Hii hatua ni mtoano, sasa wee tembeza ball, watu wanakufunga, afu uone nani anasonga mbele.

Leo enyewe mmefanya kusawazisha yote, afu unatamba. Lol
😂😂😂😂😂😂
Kwani Barcelona ye afungi?

Au mpira umeisha inter 3 Barca 0?
 
Si uko kwako, mabao unatanguliwa, wee unasawazisha, vipi kwao? Utaweza kuwamudu?
Wee subiri ufike San town, uone 🔥🔥
😂😂😂😂
Nimekuuliza swali.

Kwani Liver alishinda wapi na PSG?

Kilichotikea kila mtu anakijua
 
Si uko kwako, mabao unatanguliwa, wee unasawazisha, vipi kwao? Utaweza kuwamudu?
Wee subiri ufike San town, uone 🔥🔥
😂😂😂😂
Sasa kama nimemudu kusawazisha ntashindwa kufunga kwao?

Hivi unajielewa kweli?
 
Kuna team gan Ulaya saiv ana Defensive line nzuri kama inter....
Wana class hiyo ila kwa sasa hawana form nzuri kwenye ulinzi.

Inter wakiwa wanachezewa kwenye eneo lao ni rahisi sana kufanya makosa. Lakini angalia game ya juzi ya PSG jinsi walivyokua na utulivu kwenye zone zao wakati Arsenal wanawafanyia press.

Ndio maana nikasema angekuwa ndio PSG anaongoza bao 2 isingekuwa rahisi Barcelona kuchomoa kulingana na aina ya defense ya PSG ilivyo.
 
Itakuwa ni aibu kubwa sana na matusi kwa mpira duniani inter hii inayotegemea ipate magoli ya kona eti imtoe Barcelona inayocheza mpira mda wote na kutengeneza nafasi.

Timu haiwezi hata kutengeneza nafasi za kueleweka za kufunga mda wote inachezewa nusu uwanja Yamal anawapindua anavyotaka eti imtoe Barca!

Ntaenda kinyume na watu wote duniani lakini Inter hii haiwezi kumtoa Barca.
 
Sema Barcelona bwana.....

disadvantage ni kwamba wanaruhusu magoli sana

Advantage yao ni wako vizuri kwenye eneo la offensive na kwenye possession, wanajua kushambulia pia wanauwezo wakupata magoli tena opponent asipukia vizuri atakula nyingi

Fc Barcelona bado haijakaa vizuri ila naelewa ipo kwenye process yakujijenga 😊 hopefully mbeleni itakua team tishio sana
 
Si uko kwako, mabao unatanguliwa, wee unasawazisha, vipi kwao? Utaweza kuwamudu?
Wee subiri ufike San town, uone 🔥🔥
😂😂😂😂
Mpira wa ulaya ulishapita huko. Yaani unaweza kukandwa kwako tena goli za kutosha.
 
Sema Barcelona bwana.....

disadvantage ni kwamba wanaruhusu magoli sana

Advantage yao ni wako vizuri kwenye eneo la offensive na kwenye possession, wanajua kushambulia pia wanauwezo wakupata magoli tena opponent asipukia vizuri atakula nyingi

Fc Barcelona bado haijakaa vizuri ila naelewa ipo kwenye process yakujijenga 😊 hopefully mbeleni itakua team tishio sana
Nawashangaa sana wanaosema Barca kashatoka.

Yani inter leo wameonesha ni kwa kiwango gani hawawezi kuwakaba Barcelona ingawa tuliambiwa wana defence ngumu.

Ukitoa magoli yao ya kona sijaona kama wanaweza kutengeneza nafasi za kueleweka kwa jinsi tulivyowa dominate.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom