Watoto vs wazazi/ kaka zao
Watoto vs wazazi/ kaka zao
Mwisho wa siku mkubwa kaonekana ni mkubwa tu na watoto ni watoto tu. Kulikuwa na utofauti mkubwa wa umri wa wachezaji kati ya kikosi cha Inter dhidi ya Barcelona.
Tupo na PSG bingwa ww msimu huu ni yule ambaye hana keleleThe Mongolian Savage we nyumbu wa Spain niaje, Leo si una shabikia psg, subiri niku kande tena.
Nyau de adriz na barbarian Selikavu
inter milanTupo na PSG bingwa ww msimu huu ni yule ambaye hana kelele
Father kama father. 😂😂😂
Dogo hujalala TuThe Mongolian Savage we nyumbu wa Spain niaje, Leo si una shabikia psg, subiri niku kande tena.
Nyau de adriz na barbarian Selikavu
Mimi huwa ninasema kinyume nyume. Yaani hapo nilikuwa pro Inter MilanUme kula mkuu?, isije kuwa njaa ndio ili tabiri hapa
ChaiMimi huwa ninasema kinyume nyume. Yaani hapo nilikuwa pro Inter Milan
Umekosea jukwaa mkuu.Hii timu hakuna kitu kabisa, tulisema sana humu tukatukanwa. Tunahitaji serious players huwezi shinda UCL ukitegemea kina Lewis-skelly au Martinelli.
Duh kumbe jukwaa la blaugrana dah hii timu inatupa stress hadi tunakosea vyumba 🤣🤣Umekosea jukwaa mkuu.
Pole kwa kufungwa.
Unaishangaa barca kukaa miaka kumi bila Uefa.Kelele nyingi
😂😂😂😂😂Oya shek body.
View attachment 3327137