FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Inter anajua kama real hayupo bas ubingwa niwake maana anaona waliobak wote nivilaza
 
Ukuwa na wasiwasi wapi wewe acha uongo.

Baada ya Raphina ku score goli la tatu wewe ulikimbia kabisa banda umiza.
Hakuna kitu kiliniuma kama Barcelona kusawazisha goli zote mbili. Ikaja kupigwa goli la tatu nikaangalia dakika nikasema mechi imeshaisha hapa Inter kaishaaga mashindano ngoja tu nikomae kuangalia burudani kwa dakika zilizobakia. Aisee nakuja kushuhudia Inter wakiurejesha mchezo tena kwa kusawazisha dakika za nyongeza.

Ni mechi ambayo kila upande umeonesha kuwa usimkatie tamaa mpira ni dakika 90, Barcelona kafanya comeback za kibabe katika first leg na second leg ila inter Milan kaonesha ni msumbufu sana kila muda yupo kwaajili ya kukuadhibu.
 
Pure magic
FB_IMG_17466374469093829.jpg
 
Hakuna kitu kiliniuma kama Barcelona kusawazisha goli zote mbili. Ikaja kupigwa goli la tatu nikaangalia dakika nikasema mechi imeshaisha hapa Inter kaishaaga mashindano ngoja tu nikomae kuangalia burudani kwa dakika zilizobakia. Aisee nakuja kushuhudia Inter wakiurejesha mchezo tena kwa kusawazisha dakika za nyongeza.

Ni mechi ambayo kila upande umeonesha kuwa usimkatie tamaa mpira ni dakika 90, Barcelona kafanya comeback za kibabe katika first leg na second leg ila inter Milan kaonesha ni msumbufu sana kila muda yupo kwaajili ya kukuadhibu.
Yes ile game kila mtu hata wachezaji wa Inter wenyewe walijua ngoma ishakwisha.

Ila ndo hivyo mpira ni mchezo wa makosa kwenye football hata dakika moja inaweza kubadilisha matokeo.

Hili limepita.

Let accept the defeat and focus on the fixtures at hand.

Next ni el clasico jumapili kupambania la liga.
 
Watoto vs wazazi/ kaka zao
Mwisho wa siku mkubwa kaonekana ni mkubwa tu na watoto ni watoto tu. Kulikuwa na utofauti mkubwa wa umri wa wachezaji kati ya kikosi cha Inter dhidi ya Barcelona.

Mtoto halali na pesa, Yake ni Pempas
 
Mupira wa wanaume munapeleka watoto vikojozi uwanjani. Munawajua wanaume nyie???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom