FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Point of correction mkuu final n wonder metropolitan kwa ATLETICO MADRID
Wenye furaha ya kweli sio sisi Liverpool Bali Ni Real Madrid!

Hivi ingelikuwaje Barcelona angeenda Kuuchukuwa Ubingwa Ndani ya Santiago Barnabeu?
Nadhani inhelokuwa ni tusi kubwa kwa Real ambalo hawajawahi kutukanwa.
CC: Numbisa
 
Kuna mtu alikua anashangilia eti possession Liverpool anaongoza

Nikamuambia yule ndie master Velverde, kuhusu possession sahau sio kigezo sana kwake ,he is so concerned about accuracy na ndio maana hatupigi mashuti golini kwa adui ovyo ,inatakiwa ukipiga goli...no wastage


Salamu ziwaendee Anfield tunakuja kucheza kama match ya kwanza tulipoteza
The same first eleven ila Semedo ataanza

Master Valverde!!
Salamu zimeshafika Anfield mkuu
1091668
 
Raha ya barcelona ni kumtazama MESSI tu, anauchezea mpira atakavyo adi raha jamani, siku akistaafu huenda na mimi nikaacha kutazama mpira ndugu zanguni....wachezaji wengi wamepita, akina Diego Armando, Pele, Redondo, Alfredo de stefano, Gaucho, zidane, de lima, Batistuta n.k but sijaona wakumfikia Messi...


Barcelona nothing without Lionel Messi, says Arsenal boss Arsene Wenger....huyu mzee anajuwa mpira, yani hakukosea kabisa.

PNC
Messi anacheza mpira atakavyo.
 
Hapa tunapiga mahesabu ya final na ma city

Liverpool machoni mwa team za UK wanaonekana wagumu ila nimewasoma sana kuanzia msimu uliopita hadi huu hapa ,kwetu ni mkate tu ,hadi match ya juzi Beyern walishindwa tu wenyewe,
Ndoto ya Messi kuirudisha UEFA camp Nou na ku win treble ni reality 80% loading...,my analysis haijachanganya mapenzi tu na team yangu ila ni technical aspects nimeangalia


UEFA linarudi Camp Nou
Final na City hapo? ndipo mnapokosea.
 
Kocha anaona hali inaharibika anawaangalia tu wachezaji! Fala sana huyu mzee! Vidali sio MTU wa kuaminika hawezi hata kukimbia anapeleka kijogoo chake uwanjani akidhani watakuwa wanamuogopa! .
.hii timu angepewa messi angewakataa wengi humo kikosini make wanamuangusha sana
Fans wa messi mna matatizo,kwahy mnataka Messi awe kocha?
 
mii jamanani naona huu ndio mwaka wangu wa mwisho kushabikia mpira barca imenifanya nisipate usingizi nikijiuliza kwanini cpati jibu mutanisamehe lakini nimeshabikia barca muda mwingi ila hii ya leo imekithiri kwangu sikulala hataka daku sikuweza kula bora tuu niache kushabikia niombeeni dua kwa hili mpira acheze messi na wenzake halafu mie nikose usingizi
 
Pore sana rikijana ndio uriache kuritukana mamba kabra hujarivuka rimto.
mii jamanani naona huu ndio mwaka wangu wa mwisho kushabikia mpira barca imenifanya nisipate usingizi nikijiuliza kwanini cpati jibu mutanisamehe lakini nimeshabikia barca muda mwingi ila hii ya leo imekithiri kwangu sikulala hataka daku sikuweza kula bora tuu niache kushabikia niombeeni dua kwa hili mpira acheze messi na wenzake halafu mie nikose usingizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom