Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,315
- 8,747
Hiyo Liverfool ilifanywa nini na Madrid? Laliga ina Uefa Ngapi na Epl ina UEFA ngapi!Mwekundu, Kana, Black Panther ni maandunje tupu lkn ukweli wanaujua kuwa Laliga hakuna ubora wowote kama EPL![]()
Hiyo Liverfool ilifanywa nini na Madrid? Laliga ina Uefa Ngapi na Epl ina UEFA ngapi!Mwekundu, Kana, Black Panther ni maandunje tupu lkn ukweli wanaujua kuwa Laliga hakuna ubora wowote kama EPL![]()
Wenye furaha ya kweli sio sisi Liverpool Bali Ni Real Madrid!
Hivi ingelikuwaje Barcelona angeenda Kuuchukuwa Ubingwa Ndani ya Santiago Barnabeu?
Nadhani inhelokuwa ni tusi kubwa kwa Real ambalo hawajawahi kutukanwa.
CC: Numbisa
Kuna mtu alikua anashangilia eti possession Liverpool anaongoza
Nikamuambia yule ndie master Velverde, kuhusu possession sahau sio kigezo sana kwake ,he is so concerned about accuracy na ndio maana hatupigi mashuti golini kwa adui ovyo ,inatakiwa ukipiga goli...no wastage
Salamu ziwaendee Anfield tunakuja kucheza kama match ya kwanza tulipoteza
The same first eleven ila Semedo ataanza
Wewe nae-mpira umeanza angalia lini?hao clinical finishers wako ni kwa ajili ya EPL-sio kwa defence la Barca
Messi anacheza mpira atakavyo.Raha ya barcelona ni kumtazama MESSI tu, anauchezea mpira atakavyo adi raha jamani, siku akistaafu huenda na mimi nikaacha kutazama mpira ndugu zanguni....wachezaji wengi wamepita, akina Diego Armando, Pele, Redondo, Alfredo de stefano, Gaucho, zidane, de lima, Batistuta n.k but sijaona wakumfikia Messi...
Barcelona nothing without Lionel Messi, says Arsenal boss Arsene Wenger....huyu mzee anajuwa mpira, yani hakukosea kabisa.
PNC
Final na City hapo? ndipo mnapokosea.Hapa tunapiga mahesabu ya final na ma city
Liverpool machoni mwa team za UK wanaonekana wagumu ila nimewasoma sana kuanzia msimu uliopita hadi huu hapa ,kwetu ni mkate tu ,hadi match ya juzi Beyern walishindwa tu wenyewe,
Ndoto ya Messi kuirudisha UEFA camp Nou na ku win treble ni reality 80% loading...,my analysis haijachanganya mapenzi tu na team yangu ila ni technical aspects nimeangalia
UEFA linarudi Camp Nou
Fans wa messi mna matatizo,kwahy mnataka Messi awe kocha?Kocha anaona hali inaharibika anawaangalia tu wachezaji! Fala sana huyu mzee! Vidali sio MTU wa kuaminika hawezi hata kukimbia anapeleka kijogoo chake uwanjani akidhani watakuwa wanamuogopa! .
.hii timu angepewa messi angewakataa wengi humo kikosini make wanamuangusha sana
nitake radhi mkuu. nilijificha kichakani tuu baada ya majogoo kuniangusha!Kufa tu 7bu huna maana kushabikia timu ya mbeleko/Barcelona FC![]()
Acha majungu , mamaee nina hasira , Valvede msengeKuna katimu kanajiona katimu ka Dunia, haka katimu huwa kananiudhi sana
Kamenyooshwa, na kamenyooka
Msenge una kera wewe sipati picha hapo banda umiza ilikuwajeKumaninnaaaaaaaaaaaaaaaa piga keleleeeeeeeeeeeeeee mamamamamamaeeeeeeeee
Aibu ya Barcelona anaitoaje Ajax..??, Yule kiumbe wenu wa ajabu mnampa majina mazito mno.Too early to say that, ngoja ajax waje watutolee aibu
Mwenyekiti wa Kamati ya Roho mbaya. View attachment 1086359
NILISEMA NA NINARUDIA,TATIZO LETU NI AJAX
mii jamanani naona huu ndio mwaka wangu wa mwisho kushabikia mpira barca imenifanya nisipate usingizi nikijiuliza kwanini cpati jibu mutanisamehe lakini nimeshabikia barca muda mwingi ila hii ya leo imekithiri kwangu sikulala hataka daku sikuweza kula bora tuu niache kushabikia niombeeni dua kwa hili mpira acheze messi na wenzake halafu mie nikose usingizi
Wewe nae-mpira umeanza angalia lini?hao clinical finishers wako ni kwa ajili ya EPL-sio kwa defence la Barca
Am very angry at Velverde
2 times anafanya same mistake