SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Fundisho: tuepuke mpira wa JF na wa kukariri kuwa kila siku ama kila mashindano Messi atashinda
Na sisi tutaongeza ulinzi shirikishi mbwaa koko weeeWe will repair and comeback mbwa wote mtatuheshimu
Defenders wengi hivi huu ni uoga ,you are cowards in footballNa sisi tutaongeza ulinzi shirikishi mbwaa koko weeeView attachment 1091586
Hakitasaulika ... Liver ndio bingwa wa kupindua mechi, achana na timu zetu wala chipsi tuKile kipigo cha jana,,, kitachukua mda sana kusahaulika kwenye feelings za watu
Ungewalaumu toka mwanzo waliposhinda goli 3.au wamecheza watu wengine ama?Kocha gani kapoaa utaadhani kawekewa barafu kwa makalio,,,
Bwege kabisa huyo! Kikosi kibovu lakini kwa mtu makini hawezi kushindwa kutafuta matokeo kwa mechi kama ya Jana!
Sidhani kama anaweza hata akamkaripia mchezaji kwa uzembe wa makusudi!
,
Suarez anatuletea usanii huko mbele, coutinho Yale Yale dogo kazi yake kujiremba tu wenzie wanafanya mazoezi!..sijui anatafuta bwana??!!
..
Mliona upumbavu wa jodi alba?!! Nini alichokuwa anafanya? Mliona vicross vyake vya kupuuzi ambavyo vyote vilikutana na mguu wa beki?...
..
Rudi kwa pique,, nani anaweza kumuelewa huyu bwege! ..
Back line walishindwa kabisa kutekeleza majukumu yao ndio mana hata kiongozi messi alionesha kukatishwa tamaa na uzembe wa hawa mabeki!..
.
Timu inahitaji kufumuliwa na kupangwa upya!
Too early to say that, ngoja ajax waje watutolee aibuHakitasaulika ... Liver ndio bingwa wa kupindua mechi, achana na timu zetu wala chipsi tu
Blood pressure iko ngapDuuh
Hichi ni kipigo cha mbwa koko,hawa jamaa wameshaathirika kisaikolojia.wanahitaji msaada.Hakitasaulika ... Liver ndio bingwa wa kupindua mechi, achana na timu zetu wala chipsi tu
Hahaha mmehamia ajax ghafla bin vuuToo early to say that, ngoja ajax waje watutolee aibu
Pole sana,ishatoka hioToo early to say that, ngoja ajax waje watutolee aibu
Alileta dharau saana,kwa timu iliyomtambulisha duniani.sasa ndio hatakaa asahau hii mpk cku anakufa.Yaani we acha tu
Last week jinsi Suarez alivyoshangilia iliniuma sana
Umewageuka tena wenzako?binadamu hamuaminiki ninyiBarcelona hainatofauti na wapambanaji wa myduguli wa Hiko rwanda
Mpaka ikabidi Sergio awe ndio anaendesha timu wakati yeye kazi yake kuakikisha nyuma kupo safe... Mechi zote anaanza arthur kuakikisha timu inatulia dogo anajua kusoma mchezo tazama alivyoingia Liverpool kati wakawa wametulia wewe unamuweka holding wawili si ufala huu hata na roma alifanya hivyo hivyo kaweka paulinho mshenzi kabisa anaondoa philosophy ya barca analeta usenge wake huyu akitoka barca hakuna timu kubwa inayoweza kumchukua na mfumo wake wa kupaki basiKocha anaona hali inaharibika anawaangalia tu wachezaji! Fala sana huyu mzee! Vidali sio MTU wa kuaminika hawezi hata kukimbia anapeleka kijogoo chake uwanjani akidhani watakuwa wanamuogopa! .
.hii timu angepewa messi angewakataa wengi humo kikosini make wanamuangusha sana
We heavily depend on Messi and he has/is giving too much
It's time now for transformation ya tactics ambazo yeye akikabwa sana watu wengine wawe wanafunga
What Velverde did hakubadilisha kitu hata kimoja ,amecheza kama first match (a big mistake) ,Liverpool first leg tumewafunga kwa sababu the were not clinical but walitengeneza nafasi nyingi tu sana ,he was supposed to block them
Jordi Alba -space was being exploited na Liverpool pindi tu anapoenda kushambulia mbele
Coutinho-pyschologically the guy is not fit
mwekundu leo umepauka na kuwa kijivu kama nyanyapuza!
Na sura lako hilo kama Sokwe!!!
Mbwa wakubwa nyie!!!
Ngoja nikampe Baba Debo kiuno akichezee atakavyo, kesho kuamka saa tatu.
Am very angry at Velverde
2 times anafanya same mistake