FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

We will repair and comeback mbwa wote mtatuheshimu
Na sisi tutaongeza ulinzi shirikishi mbwaa koko weee
IMG-20190508-WA0134.jpeg
 
Kwa style hii sidhani kama Messi atacheza hadi akifika umri wa miaka 45 kama watu wanavyosema
 
Kwa style hii sidhani kama Messi atacheza hadi akifika umri wa miaka 45 kama watu wanavyosema
 
We heavily depend on Messi and he has/is giving too much
It's time now for transformation ya tactics ambazo yeye akikabwa sana watu wengine wawe wanafunga
What Velverde did hakubadilisha kitu hata kimoja ,amecheza kama first match (a big mistake) ,Liverpool first leg tumewafunga kwa sababu the were not clinical but walitengeneza nafasi nyingi tu sana ,he was supposed to block them

Jordi Alba -space was being exploited na Liverpool pindi tu anapoenda kushambulia mbele
Coutinho-pyschologically the guy is not fit
 
Kocha gani kapoaa utaadhani kawekewa barafu kwa makalio,,,
Bwege kabisa huyo! Kikosi kibovu lakini kwa mtu makini hawezi kushindwa kutafuta matokeo kwa mechi kama ya Jana!
Sidhani kama anaweza hata akamkaripia mchezaji kwa uzembe wa makusudi!
,
Suarez anatuletea usanii huko mbele, coutinho Yale Yale dogo kazi yake kujiremba tu wenzie wanafanya mazoezi!..sijui anatafuta bwana??!!
..
Mliona upumbavu wa jodi alba?!! Nini alichokuwa anafanya? Mliona vicross vyake vya kupuuzi ambavyo vyote vilikutana na mguu wa beki?...
..
Rudi kwa pique,, nani anaweza kumuelewa huyu bwege! ..
Back line walishindwa kabisa kutekeleza majukumu yao ndio mana hata kiongozi messi alionesha kukatishwa tamaa na uzembe wa hawa mabeki!..
.
Timu inahitaji kufumuliwa na kupangwa upya!
Ungewalaumu toka mwanzo waliposhinda goli 3.au wamecheza watu wengine ama?
 
Kocha anaona hali inaharibika anawaangalia tu wachezaji! Fala sana huyu mzee! Vidali sio MTU wa kuaminika hawezi hata kukimbia anapeleka kijogoo chake uwanjani akidhani watakuwa wanamuogopa! .
.hii timu angepewa messi angewakataa wengi humo kikosini make wanamuangusha sana
Mpaka ikabidi Sergio awe ndio anaendesha timu wakati yeye kazi yake kuakikisha nyuma kupo safe... Mechi zote anaanza arthur kuakikisha timu inatulia dogo anajua kusoma mchezo tazama alivyoingia Liverpool kati wakawa wametulia wewe unamuweka holding wawili si ufala huu hata na roma alifanya hivyo hivyo kaweka paulinho mshenzi kabisa anaondoa philosophy ya barca analeta usenge wake huyu akitoka barca hakuna timu kubwa inayoweza kumchukua na mfumo wake wa kupaki basi
 
Mimi nilivyoona kikosi nikasema hiki nini tena yani mwalimu mzima kama amecheza kamali maana hata na roma kikosi cha first leg kapanga hicho hicho.....mimi sijawahi kumkubali huyu mwalimu siku zote nasema ni mzimamizi wa mazoezi....hakuna mwalimu ambae hajui mahitaji ya mechi husika huyu ni mwalimu wa ovyo kufundisha barca tata martino alikuwa ovyo huyu mshenzi amezidi
We heavily depend on Messi and he has/is giving too much
It's time now for transformation ya tactics ambazo yeye akikabwa sana watu wengine wawe wanafunga
What Velverde did hakubadilisha kitu hata kimoja ,amecheza kama first match (a big mistake) ,Liverpool first leg tumewafunga kwa sababu the were not clinical but walitengeneza nafasi nyingi tu sana ,he was supposed to block them

Jordi Alba -space was being exploited na Liverpool pindi tu anapoenda kushambulia mbele
Coutinho-pyschologically the guy is not fit
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom