interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,409
Liverpool hawakutaki, rudi huko huko kwenye ligi ya marede/wamama/BarcelonaMessi
Messi
Cr7 still alive... Andunje kapuni hakuwa na jipya.
Fan wake mtuliee kama hampo.

Liverpool hawakutaki, rudi huko huko kwenye ligi ya marede/wamama/BarcelonaMessi
Messi
Cr7 still alive... Andunje kapuni hakuwa na jipya.
Fan wake mtuliee kama hampo.

Pumbavu sana hao maandunje, kila kona ni habari za kumuabudu Missi na Barca, kweli Mungu hafananishwi na chochote kama ilivyotokea kwa Andunje FC janaKelele za Uefalona na anduje wao zitapungua.
Kufa tu 7bu huna maana kushabikia timu ya mbeleko/Barcelona FCSiamini macho yangu! Naweza kuzimia hapa

Tatizo hawachezi kitimu.Messi katia aibu sana mechi ya jana, kutoka kuongoza tatu bila hadi kuwa nyuma kwa goli nne kwa tatu!!
Tatizo hawachezi kitimu.
Wanamtegemea mtu mmoja io ndo mbaya.
Iwezekano wa kupata goli 2 ulikuwa mkubwa, ila pia nadhani kutokuwepo Salah leo unaweza dhani kama ndiyo chanzo cha ushindi wetu.
Ndicho hicho kilichomkosti CR 7 hadi Juventus ikatolewa na Ajax FCWakuu Poleni sana
Ila inabidi mbasilishe game yenu
Mnamtegemea sana Messi na akichemsha tu basi mnachoki.
Hii sasa imekuwa FC Messi na sio FC Barcelona

Kaone![]()
Aisee hata usingizi hauji ,Velverde ameweza kutitia aibu ya mwaka
We Vipi unatafuta bwana au?pita kimya tuPumbavu hadi umechapia![]()
Jana Andunje alikuwa mshabiki tu uwanjani, this is Liverpool FC "You will never walk alone"Hata iweje huyu jamaa hakuna kama yeye kataa ukubali hata Barca angefungwa 6 jana lakini huyu si kiumbe wa kawaida
View attachment 1091475


Unajua barca ni timu nzuri ila wanazingua wanapozarau timu za uingereza.
Eti zote ni sawa na man u kitu ambacho sio kwel.
Acha kupaniki wewe mwenyewe ulikuwa una mdomo sana na haka katimu kako ka Yombo kilakalaWe Vipi unatafuta bwana au?pita kimya tu
We Vipi unatafuta bwana au?pita kimya tu
Huyo MESSI wenu ambaye mnamoamba kila siku mbona maajabu hayafanyi nje ya Spain kama kweli yeye ni mwanaume angefanya kile alichokifanya Spain akakifanya Anfield