

Acha kupaniki wewe mwenyewe ulikuwa una mdomo sana na haka katimu kako ka Yombo kilakala
Kile kipigo cha jana,,, kitachukua mda sana kusahaulika kwenye feelings za watu
1We will repair and comeback mbwa wote mtatuheshimu
Kocha gani kapoaa utaadhani kawekewa barafu kwa makalio,,,Huyu kocha game plan hana makosa ya roma na jana karudia anapenda kukariri kikosi..dogo arthur siku zote uwa anatuliza presha ya katikati arturo anakaba akiblock mipira wakati mwingine pasi anapoteza...Mimi siwahi kuona huyu jamaa ni kocha wa kiwango cha barca tumemvumilia sana lakini hana kipya ni wakati wa yeye kuondoka sasa Mimi naamini tukipata kocha mpya tutakuwa poa pale kuna msimamizi wa mazoezi
Jamaa atuache mshikaji wangu ananiambia jiji barcelona hawataki kumuona huyu mtu...kama rais akimkubatia basi ajiandae na yeye kutolewa na ummaAm very angry at Velverde
2 times anafanya same mistake
Ongea tu kwa kuwa mmeshindaPoleni sana
Anfield ni machinjioni na hatoki mtu salama
Ukishmdhibiti Messi basi Barca Keisha habari yake
Hana plan kabisa lazima angeanza arhur melo kwa ajili ya kucontrol central midfield anamuweka vidal kisa kakariri mechi ya kwanza alienda kuzuia mpira unabadilika kulingana na mahitaji ya mechiMlimruhusu pep aondoke hamkuonyesha uhitaji wakumbakiza .
Sasa valvede hamna kitu kabisa.
Hajifinzi kabisa,aliona game ya kwanza kazidiwa ila messi alimbeba.
Game ya pili hakubadili mbinu,akaja kuzuia.
Ubaya messi akapotea timu nzima ikapotea.
Akatafute kazi ingine ya kufanya!!Not today LeoView attachment 1091518
Halafu alivyokuwa mpumbavu anasema alijua Liverpool watakuja kupress high lakini likaja kuzuia weka kiungo wa kucheza kati kuunganisha timu anaweka vidal mkabaji badala ya arthur melo kipindi cha kwanza kimeisha bado aka remain bold kama vile kabet klop alivyoona upuuzi wake akaongeza zaidi mtu wa kupress anakuja kustuka baadae.... Mamaae zake kama anakungutwa kazi kukalia kiti tu msengerema yuleKocha gani kapoaa utaadhani kawekewa barafu kwa makalio,,,
Bwege kabisa huyo! Kikosi kibovu lakini kwa mtu makini hawezi kushindwa kutafuta matokeo kwa mechi kama ya Jana!
Sidhani kama anaweza hata akamkaripia mchezaji kwa uzembe wa makusudi!
,
Suarez anatuletea usanii huko mbele, coutinho Yale Yale dogo kazi yake kujiremba tu wenzie wanafanya mazoezi!..sijui anatafuta bwana??!!
..
Mliona upumbavu wa jodi alba?!! Nini alichokuwa anafanya? Mliona vicross vyake vya kupuuzi ambavyo vyote vilikutana na mguu wa beki?...
..
Rudi kwa pique,, nani anaweza kumuelewa huyu bwege! ..
Back line walishindwa kabisa kutekeleza majukumu yao ndio mana hata kiongozi messi alionesha kukatishwa tamaa na uzembe wa hawa mabeki!..
.
Timu inahitaji kufumuliwa na kupangwa upya!
Mi sio liver na siipendi barca... JANA MMEKOMESHWA na kiumbe wenu wa Sayari nyingine akiwa ndaniLiverpool hawakutaki, rudi huko huko kwenye ligi ya marede/wamama/Barcelona![]()
Halafu alivyokuwa mpumbavu anasema alijua Liverpool watakuja kupress high lakini likaja kuzuia weka kiungo wa kucheza kati kuunganisha timu anaweka vidal mkabaji badala ya arthur melo kipindi cha kwanza kimeisha bado aka remain bold kama vile kabet klop alivyoona upuuzi wake akaongeza zaidi mtu wa kupress anakuja kustuka baadae.... Mamaae zake kama anakungutwa kazi kukalia kiti tu msengerema yule
Ukiona kiongozi anakata tamaa wakati timu iko kwenye wakati mgumu jua huyo sio kiongozi. Yani imepigwa tatu alafu kiongozi unakata tamaa wtf? badala ahamasishe watu yeye anakata tamaa?..
Rudi kwa pique,, nani anaweza kumuelewa huyu bwege! ..
Back line walishindwa kabisa kutekeleza majukumu yao ndio mana hata kiongozi messi alionesha kukatishwa tamaa na uzembe wa hawa mabeki!..
.
Timu inahitaji kufumuliwa na kupangwa upya!
Cole Williams umekung'uktwa vzr sana na Andunje wako hadi umechakaa
Liverpool 4-0 Barcelona.
Ukiona kiongozi anakata tamaa wakati timu iko kwenye wakati mgumu jua huyo sio kiongozi. Yani imepigwa tatu alafu kiongozi unakata tamaa wtf? badala ahamasishe watu yeye anakata tamaa?