FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

The whole team ipo designed through messi then ukipata mpinzani mzuri anayeweza kusolve that (out favour messi to shine definitely you out favour barca to shine) hapo ndipo mashabiki wa barca walioshabikia mpira kwasababu ya messi wanapokosa jibu sahihi nini maana ya ushabiki na nini maana ya kupenda football... But yeeeaah heavy comeback nimeipenda
 
aiseee ni hatari
Kuna mtu alikua anashangilia eti possession Liverpool anaongoza
Nikamuambia yule ndie master Velverde, kuhusu possession sahau sio kigezo sana kwake ,he is so concerned about accuracy na ndio maana hatupigi mashuti golini kwa adui ovyo ,inatakiwa ukipiga goli...no wastage
Salamu ziwaendee Anfield tunakuja kucheza kama match ya kwanza tulipoteza
The same first eleven ila Semedo ataanza
 
sidhani leo kama mtapata usingizi kwa furaha mliyonayo
Mi dua zangu ni kuwaombea tu mchukue ndoo, ingawa najua kitaani tutapata shida sana.
kabisaa mkuu na kesho naenda kucheck Jersey ile ya mwanzo ilishapotea 😂😂
 
Huyu kocha game plan hana makosa ya roma na jana karudia anapenda kukariri kikosi..dogo arthur siku zote uwa anatuliza presha ya katikati arturo anakaba akiblock mipira wakati mwingine pasi anapoteza...Mimi siwahi kuona huyu jamaa ni kocha wa kiwango cha barca tumemvumilia sana lakini hana kipya ni wakati wa yeye kuondoka sasa Mimi naamini tukipata kocha mpya tutakuwa poa pale kuna msimamizi wa mazoezi
 
Aisee hata usingizi hauji ,Velverde ameweza kutitia aibu ya mwaka

Timu itajifunza na kuwa bora next season na mwalimu Mpya pia naamini wataongeza kasi ya usajili wa De light

Next season Timu itakuwa bora zaidi pole kwa Kukosa usingizi
 
IMG_5217.JPG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom