Mgugu
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 2,165
- 4,404
mkuu watu tulikuwa tumejificha vichakani tumekata tamaa, now tumeamka
Kinachofuata ni kupiga nyani bila kuangalia usoni



sidhani leo kama mtapata usingizi kwa furaha mliyonayoMi dua zangu ni kuwaombea tu mchukue ndoo, ingawa najua kitaani tutapata shida sana.