FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kama utakuwa na kumbukumbu mechi ya Roma alifanya kama alivyofanya leo mwalimu mzuri anabadilika kulingana na mechi wewe unakuja vile vile rahisi mpinzani wako kukusoma tazama Enrique au gardiola anakuja kulingana na mahitaji ya mechi sio huyu fala anaatumiza kila siku
Mwekundu sijaona kosa la cot kiufupi team umezingua yote na kocha hana mipango naomba tusimsingizie cot
 
Khaaaaa!
IMG-20190508-WA0001.jpeg
 
Kama utakuwa na kumbukumbu mechi ya Roma alifanya kama alivyofanya leo mwalimu mzuri anabadilika kulingana na mechi wewe unakuja vile vile rahisi mpinzani wako kukusoma tazama Enrique au gardiola anakuja kulingana na mahitaji ya mechi sio huyu fala anaatumiza kila siku
Pole Sana mkuu, mlijiamini mno
 
Kama utakuwa na kumbukumbu mechi ya Roma alifanya kama alivyofanya leo mwalimu mzuri anabadilika kulingana na mechi wewe unakuja vile vile rahisi mpinzani wako kukusoma tazama Enrique au gardiola anakuja kulingana na mahitaji ya mechi sio huyu fala anaatumiza kila siku
Kocha jana mipango kabisa kiukweli kila siku nalalamika kuhusiana na huyu kocha hatakaa atupe UEFA kamwe naamini ilo
 
Fundi Lionel Messi, anakwenda kuikosa tuzo ya mchezaji bora wa dunia kwa sababu tu ya wapumbavu wachache.
 
Mwekundu sijaona kosa la cot kiufupi team umezingua yote na kocha hana mipango naomba tusimsingizie cot
Sio kweli, Messi kajitahidi mno. Wenzie wamemuangusha Sana, anatoa assist wanakosa, kapambana mno. Timu yetu mbovu inamtegemea Messi tu atoe assist, afunge. Goli la nne utamlaumu kocha?
 
Kale kamtu ambako huwa ndio kakombozi kao, leo ndio kamewakosti

Badala ya kutumia nafasi nzuri aliyotengenezewa na Coutinho, eti kanajidai kanataka kumpiga mtu chenga kwenye 6

Magoli aliyokosa Dembele kwenye mechi ya kwanza pia mtayakumbuka sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom