FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Leo sasa
Unakuta mtu anauliza eti Vidal anafanya nini uwanjani? Nigga, do you even have an idea of what football is?

Kama hujaona efforts za hili south American beast, i suggest you stick to fashion magazines. Football is not for every one!
 
Kwangu Mimi Arturo Vidal ndiye Man of the Match. Ametimiza majukumu yake ipasavyo. Vidal aliletwa Barcelona purposely kwa Mechi kama hizi. Last season tumetolewa na Roma ni kwa sababu alikosekana Mtu kama yeye.
Kocha ameplan vizuri kumuacha Arthur Melo kwa sababu Dogo Bado hawezi fitna na roho mbaya.
Vidal anahitajika Sana next game pale England kukamilisha Kazi yake
Vidaaaaaal huyu ni kwaajili ya game zipi? Sema tena
 
Accuracy?
Kuna mtu alikua anashangilia eti possession Liverpool anaongoza

Nikamuambia yule ndie master Velverde, kuhusu possession sahau sio kigezo sana kwake ,he is so concerned about accuracy na ndio maana hatupigi mashuti golini kwa adui ovyo ,inatakiwa ukipiga goli...no wastage


Salamu ziwaendee Anfield tunakuja kucheza kama match ya kwanza tulipoteza
The same first eleven ila Semedo ataanza
 
Tuwapumzishe tena
With all due respect
Board ya Barca tunaomba tuibebe celta Virgo ambao wako kwenye danger zone kwa muda mrefu ....

Messi,Busquets, Pique,Suarez,Coutinho,Vidal,Semedo ,S Roberto,Ter Stergen na Jordi Alba tunaomba hata wasisafiri kwenda kucheza na celta Virgo, jumamosi

Thanks
 
Mkuu mimi ni man u ila kwa kazi mliyoifanya leo uhasimu wangu nauweka pembeni.
Mmenikumbusha mlichomfanya Ac Milan mwaka 1995.
Ki ukweli mmenifurahisha jinsi mlichowafanyia watesi wetu.
😂😂😂mkuu watu tulikuwa tumejificha vichakani tumekata tamaa, now tumeamka
Kinachofuata ni kupiga nyani bila kuangalia usoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom