kilama
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 2,782
- 2,084
hahahahaha hasa na kelele za watoto walioanza kushangilia Moira juziKuna katimu kanajiona katimu ka Dunia, haka katimu huwa kananiudhi sana
Kamenyooshwa, na kamenyooka
hahahahaha hasa na kelele za watoto walioanza kushangilia Moira juziKuna katimu kanajiona katimu ka Dunia, haka katimu huwa kananiudhi sana
Kamenyooshwa, na kamenyooka
Lakini si messi yupo. Munakwama wapi?Usenge wa Roma mwalimu katuletea na leo hakuna mwalimu pale
Uu ubao unasikitisha sana.
Sijaanza leo kiongozi kuanginzia akiwa anamweka Denis Suarez njee kila wakati nilimlaumu sana huyu jamaaMbona hukusema first leg mliposhinda 3?
HahahahaYote haya kayataka bishop mammaee zake.![]()
Je macho yako yameona kama miiiiimi!!!!!Siamini macho yangu! Naweza kuzimia hapa
Kosa pia alifanya coutinho.Kale kamtu ambako huwa ndio kakombozi kao, leo ndio kamewakosti
Badala ya kutumia nafasi nzuri aliyotengenezewa na Coutinho, eti kanajidai kanataka kumpiga mtu chenga kwenye 6
Magoli aliyokosa Dembele kwenye mechi ya kwanza pia mtayakumbuka sana
Mkuu yule Taa ni mshenzy sana yule mtotoJe macho yako yameona kama miiiiimi!!!!!
This iz Liverpool bwana.
Hongereni majogoo kwa kututhibitishia kua bado mnauwezo wa kuwika, maana wiki iliyoisha mlitudhalilisha ikapelekea tuwadharau sana.
Coutinho alikuwa pembeni, angekuwa mchoyo angeweza kijaribu na kufunga, lakini Messi yeye alipaswa kuipasia nyavu tu na bado akazinguaKosa pia alifanya coutinho.
Kiufupi kikosi kizima walipotea.
Waliizarau game .
Liver aliposhinda wakasema messi lazima ashinde kumbe sivyo.
Mipira isipomfikia messi timu imepotea hamna njia nyingine ya kutafuta ushindi.
Mkuu kisa wewe umezoea kutoa jicho,usifikiri kila mtu yuko hivyo!Kampe na jicho
Ahahahahha.Dunia imeona kua barcelona ni underdog tuu kweny uefa
MakaburiView attachment 1085893Wamechomoa huko![]()
Kosa pia alifanya coutinho.
Kiufupi kikosi kizima walipotea.
Waliizarau game .
Liver aliposhinda wakasema messi lazima ashinde kumbe sivyo.
Mipira isipomfikia messi timu imepotea hamna njia nyingine ya kutafuta ushindi.
watu wengi wamekuwa wakisema timu yetu inamtegemea san messi... ni kweli lakin hawajui kuwa kabla ya messi timu imepata kocha mwenye uwezo mkubwa sana kuchambua mchezo..
pongezi wa kocha wa barcelona, ukiangalia leo basa hawakucheza kwenye mfumo wao mama wa kila sk wa 4-3-3 leo alicheza 4-4-2 ni mbinu kubwa iliofanya ushindi upatikane kirahisi dhidi ya liva..
MakaburiWewe nae-mpira umeanza angalia lini?hao clinical finishers wako ni kwa ajili ya EPL-sio kwa defence la Barca
View attachment 1085893Wamechomoa huko 😂