Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,848
Ha ha ha ha ha haaaaahNext joke pleasebarcelona. OUT.
no discussion.
Ha ha ha ha ha haaaaahNext joke pleasebarcelona. OUT.
no discussion.
Next joke pleaseView attachment 714452
This is what's going to happen tonight. Fucker Uefalona
Alikuwa anabinya vulva zake huyu"We ni dada hayo mapumbu unayatoa wapi
Messi akiwa anakuja langoni haji peke yake anakuja na kitu kitaalamu tunaita Malipapastas Lutervadiacsa athari zake ni kipa kutokwa jasho..kupanua miguu na papo hapo anaanza pia kumuona De Lima.. Gaucho na Pele kwa mbaali. Huyu ndo mchezaji anayehofiwa na mashabiki na wachezaji wa ti,u pinzanikatika timu nzima ya baselona namuhofia INIESTA peke yake
Praise to the king ha ha ha haMessi akiwa anakuja langoni haji peke yake anakuja na kitu kitaalamu tunaita Malipapastas Lutervadiacsa athari zake ni kipa kutokwa jasho..kupanua miguu na papo hapo anaanza pia kumuona De Lima.. Gaucho na Pele kwa mbaali. Huyu ndo mchezaji anayehofiwa na mashabiki na wachezaji wa ti,u pinzani
Huyo watakuwa wanamtoboa hadi sasa hiviHivi yule jamaa mwenye jezi ya njano, aliesumbua humu kwamba barca anatoka mbn simskii nw,
Yaani hapo jana King Messi alikuwa analiona goli lipo katikati ya miguu ya kipa ndo maana utaona magoli yote aliyofunga mpira ulipita hapo katikati ya miguuuSijaielewa hii picha.View attachment 715086
Unadhani magoli yanafungwaje mzee, ukicheza simpo blunders una-Tiwa vizuri tuu... nutmeg either side mchezo nini!!!!Mkuu hii kitu kweli kabisa. Ila leo mmetufunga ni kwa uzembe wetu mkikutana na timu ina foward line kali kama Liverpool nyie mbafungika. Barcelina hii ya hawa wanyakyusa Mwamtiti siyo ile ya kina Puyol.
Mmetukuta na sisi wenyewe wabovu.
Haha acha utani mkuu!! Hukuangalia game nini.. la pulga alikuwa analenga korodani tuSijaielewa hii picha.View attachment 715086
Kweli asee, wanakuja kuongea upupu wao alafu wanapoteaMuwe mnakumbuka na kuleta mirejesho sasa
Shemale vp kende hazijapasuka tu?
Iliishia darajaniHivi story ya Messi hajawahi kuifunga Chelsea iliishia wapi?![]()
Wanakuambia jezi walio tumia cheisii imewagharimu maana la pulga akiona rangi nyeupe anachanganyikiwa anajua ni RM so lazima awa tieJamani tuombe fungeni macho
Eeh Mungu kama ambavyo ulitupatia chelsea hatua ya 16 bora ,vile vile fanya maajabu utupatia Real Madrid kwenye robo fainali Amen
#Forca_Barca
Naomba dua ya kumtia uoga adui
Tunaojipigiaga haha napenda sana messi anavowatia presha akina cr7 na wenzieSure hata Mimi namtaka madridiot
Epl wanasanda la ligaTimu ya pili ya la liga imeitoa timu ya pili ya epl uefa
Hahaha jamani jamani jamani mweeeehh .....ata cheisii walisema kama wewe pumbavuKukutana na real Madrid ligi ya mabingwa ulaya ni sawa na kushindana na Ccm uchaguzi mdogo ,hata ufanyike Kilimanjaro kule siha ,Ccm itashinda kwa ushindi wa kishindo
hata Madrid wanafungwa na Betis na Espanyol lakini tukiwafunga tunshangilia vilevile. hatuchagui sisi!!Unafurahia kumfunga timu ambayo inafungwa na Watford 3-0,wanafungwa na man united & city
Usisahau girona piahata Madrid wanafungwa na Betis na Espanyol lakini tukiwafunga tunshangilia vilevile. hatuchagui sisi!!