Hebu acha vituko wewe. Mkikutana na Juve au Liver wanawatoa nyie. Kombe hamchukuiTunaenda kubeba ndoo mjombaa
Na kiukweli assist ile ilikuwa ni ya kwenda kwa Dembele na alijua kwa speed ya dogo aliyo nayo lazina ule mpira angeufikia tuu watu na macho ya jamani mpaka raha.Messi ananipa kazi ya kuwashawishi wajuu zangu kwamba hii ilikuwa ni assist anampa dembele asieonekana pichani.
Yaani anaepewa assist aonekani..sasa messi alimwonaje?
Simply magic!View attachment 715102
Kinachonikera jf n huu mfumo wa likes tano tu bxCoutoirs golipicha wa Chelsea awekewe net miguuni.
Hahahahahahaaaaaaaaaaàq weee mzee noma sanaJamani tuombe fungeni macho
Eeh Mungu kama ambavyo ulitupatia chelsea hatua ya 16 bora ,vile vile fanya maajabu utupatia Real Madrid kwenye robo fainali Amen
#Forca_Barca
Naomba dua ya kumtia uoga adui
Iliishia gemu iliyopita walipokutanaHivi story ya Messi hajawahi kuifunga Chelsea iliishia wapi?![]()

Swali zuriIla utaiweka Chelsea sio?
Hii ndo ujifunze hata kwenye maisha ya kawaida haters wanatafuta sehemu yenye weakness,story yao sasa ni dustbinIliishia gemu iliyopita walipokutana![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

,Watford etcMbavu zanguHii ndo ujifunze hata kwenye maisha ya kawaida haters wanatafuta sehemu yenye weakness,story yao sasa ni dustbin
Baadae utasikia Messi hajawahi kuifunga Everton,Watford etc

Tuliza kipapa mrembo. Kama umeanza kushabikia mpira juzi usitusumbue. Kufungwa na Man U ndio kunamzuia kukufunga wewe.?Wewe dada juve makundi tumenfanyaje?
Liver inayopigwa na man u ndyo iifunge barca?
Haizewekeani kabisa hiyoWewe dada juve makundi tumenfanyaje?
Liver inayopigwa na man u ndyo iifunge barca?
Hii ndo ujifunze hata kwenye maisha ya kawaida haters wanatafuta sehemu yenye weakness,story yao sasa ni dustbin
Baadae utasikia Messi hajawahi kuifunga Everton,Watford etc

Sawa mama Rhoda umeelewekaBinti yangu team yeyote inayofungwa na man haiwezi kuifunga barca hata nyie mlipo tatuliwa na man nikiwadharau sana man ni team mbovu ever
Kipa pa yule kipa wenu asotaka kubana miguuTuliza kipapa mrembo. Kama umeanza kushabikia mpira juzi usitusumbue. Kufungwa na Man U ndio kunamzuia kukufunga wewe.?
Wale si wanakamia game. Hakuna ufundi wala maana ya mpira.

Wale waliobaki na unazi wao wa kuendeleabkusema epl ni ligi bora endelezeni imani zenu za kufirika na kuendelea kuwa watumwa.Timu ya pili ya la liga imeitoa timu ya pili ya epl uefa
Jumlsha madrid kumla tottentam hot....Timu ya pili ya la liga imeitoa timu ya pili ya epl uefa
Mkuu unanifurahisha ulivyokuja jukwaani unajaribu kubishana kwa hoja ulizonazo maana wenzio wanakujaga na kejeri tu. Ila sasa tatizo lako unatanguliza mapenzi zaidi kuliko uhalisiaHebu acha vituko wewe. Mkikutana na Juve au Liver wanawatoa nyie. Kombe hamchukui