FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Aya washikaji watafute wale watabiri ambao suruali zao zina tundu kwa nyuma muwalete hapa
Dadadake watu walitabiri Barcelona atachomoa goli 4 sembuse huu uharo wa Stamford Bridge
Kwanza kocha wao hana akili
 
Antonio Conte kaamua tu apige story na Bwana mkubwa LM.Hana jinsi afanyaje sasa.Mtu akufunge dk3 then atoe assist dk ya 20.Halafu aje akubamize tena kipindi cha pili.
 
Aya washikaji watafute wale watabiri ambao suruali zao zina tundu kwa nyuma muwalete hapa
Dadadake watu walitabiri Barcelona atachomoa goli 4 sembuse huu uharo wa Stamford Bridge
Kwanza kocha wao hana akili
pumbavu zao
 
mimi katika vitu siamini ni historia... msipende kukariri history... condition uwa zinabadilika ona sasa
Mkuu hii kitu kweli kabisa. Ila leo mmetufunga ni kwa uzembe wetu mkikutana na timu ina foward line kali kama Liverpool nyie mbafungika. Barcelina hii ya hawa wanyakyusa Mwamtiti siyo ile ya kina Puyol.

Mmetukuta na sisi wenyewe wabovu.
 
5e225ac8173919d0991159fbc4d32f17.jpg
 
Mkuu hii kitu kweli kabisa. Ila leo mmetufunga ni kwa uzembe wetu mkikutana na timu ina foward line kali kama Liverpool nyie mbafungika. Barcelina hii ya hawa wanyakyusa Mwamtiti siyo ile ya kina Puyol.

Mmetukuta na sisi wenyewe wabovu.
wakisema taja timu mbili zenye beki ngumu kwa sasa utaiacha Barca?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom