Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,937
Kila mchezaj ukicheki highlits huwa ana faahuyu Arthur nimecheki highlights zake atatufaa sana. bonge la mid. na zile kampa-kampa tena naona anazijua vizuri. karibu sana Barcelona Arthur Melo
Mkuu ila unauona umuhim wa paco, vidal na gomez au sioNasoma tetesi mitandaoni apa wanadai Griezman yuko mbioni kutua Barcelona. Kuongea ukweli mi sijawahi mkubali Griezman kwa upande wangu naona kama anakuzwa sana naonaga wa kawaida tu. Naangalia match nyingi zake ila naonaga anajua mpira ila wa kawaida tu, kama match iliyopita na Barcelona sijaona chochote alichofanya cha maana. Kwa upande wangu mie sijaona umuhimu wake kuja Barcelona.

Hahahaaha mkuu hao ata mimi nikipewa training kwa mda mfupi nawazidi uwezo. Tatizo liko kwenye kuchagua mchezaji ataemrithi Neymar kwenye winga ya kushoto kwa upeo wangu mi naona sio kila mchezaji mzuri anafaa kuchezea Barcelona. Kwa mfano huwezi kumsajili Bale achezee Barcelona mana unaona kabisa hafit kwenye mfumo.Mkuu ila unauona umuhim wa paco, vidal na gomez au sio![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hahaha highlights kila mchezaji wanachukua vipande ambavyo anangara ndo wanavieka ila alivovurunda wanazieka kapuni. Chukua highlights za Delofeu, Vidal, Gomez mkuu uone shughuli yake anavokimbiza.Kila mchezaj ukicheki highlits huwa ana faa
Kuwa mtulivu kwanza
Hahaha mchezaji anaeharibu Barcelona akienda ligi zingine wanamuona lulu yan kama Juma Mahadhi wa Yanga akicheza Ndondo mtaani anavokimbiza. Gomez uyo akienda Man utd, Liverpool hakosi number midfielder pale.Wazee issue ya Gomez Andres kulia lia na kutia huruma kwenye media jana mnaizungumzaje?eti anasema sometimes hata ndani hatoki anaogopa kuzomewa
Mungu naona anaanza kujibu dua zetu sasa kwanini asijihamishe tu
kuna vitu special huwa vinaonekana. kwa arthur nimeona anang'ang'ania sana mpira na chenga zake za kuzunguka. ni kitu muhimu kwa MF wa Barca.Kila mchezaj ukicheki highlits huwa ana faa
Kuwa mtulivu kwanza
Sawa mkubwakuna vitu special huwa vinaonekana. kwa arthur nimeona anang'ang'ania sana mpira na chenga zake za kuzunguka. ni kitu muhimu kwa MF wa Barca.
Nimeona kikosi cha kesho.wakuu tumejipangaje kesho? vipi Iniesta yupo fiti? wenzetu wameshapita
Tunza maneno haya na baada ya mechi urudi.barcelona. OUT.
no discussion.
babu kaniambia kwamba barca OUT.Tunza maneno haya na baada ya mechi urudi.
Sawa mkuubabu kaniambia kwamba barca OUT.
iwe mvuaa au jua au theluji..
BARCA OUT.
Mtu mwenyewe mjinga bila shaka unaongea ujinga ujinga tubabu kaniambia kwamba barca OUT.
iwe mvuaa au jua au theluji..
BARCA OUT.
Mtu mwenyewe mjinga bila shaka unaongea ujinga ujinga tu
tukutane muda utakapofika relax.Uyo babu shoga
Sawa mjingatukutane muda utakapofika relax.