Yule ni dada sio jamaaHivi yule jamaa mwenye jezi ya njano, aliesumbua humu kwamba barca anatoka mbn simskii nw,
yoyote tu. timu yetu ya sasa ikiwa 100% fiti hakuna timu inaweza tusumbua. ujue hakuna timu kati ya hizo saba inayotaka kukutana na sisi.Barca vs Sevilla, Liverpool/ Juve, Madrid/ Man city
ingemsaidia kotwaa asifungwe leo.Sijaielewa hii picha.View attachment 715086
Sina sababu ya kuiweka Barca.wakisema taja timu mbili zenye beki ngumu kwa sasa utaiacha Barca?
yajayo yanavutia🙂😉Next season ndo tutawamaliza opponents wote ushindi wetu utakua clean sheet goli 4 kwenda juu
Walijiachia sana atleast wangekuwa solid defensively kuliko kutawanyika sana,kumbuka hata baada ya city kuwachapa goli moja hawakuwa na la kupoteza lakini waliendelea kukaa nyuma tu,nadhani umenielewa.
Mbona unakua kama kindergaten utafuniwe kila kitu ndio uelewe. Nimekuambia foward line yetu ni mbovu na ndio tumeshindwa kutumia vizuri nafasi tulizopata. Liver wao wako vizuri mkikutana nao kuwafunga nyie ni rahisichambua mpira kiufundi acha hizo porojo sema liver anaweza mshinda barca kwa hili na hili na kinyume chake pia au madrid atamfunga barca au bayern kwa kutumia mfumo huu na ule na sio kusema liver atafungwa na barca umekua mganga
Sasa mkuu rekodi si zipo ili zivunjwe au.?Leo mmekuwa wabovu tena wakati nyie mna record ya kuwatoa Barca.
Mbona unakua kama kindergaten utafuniwe kila kitu ndio uelewe. Nimekuambia foward line yetu ni mbovu na ndio tumeshindwa kutumia vizuri nafasi tulizopata. Liver wao wako vizuri mkikutana nao kuwafunga nyie ni rahisi
Sina sababu ya kuiweka Barca.
Nimecheka eti Mwamtiti!Mkuu hii kitu kweli kabisa. Ila leo mmetufunga ni kwa uzembe wetu mkikutana na timu ina foward line kali kama Liverpool nyie mbafungika. Barcelina hii ya hawa wanyakyusa Mwamtiti siyo ile ya kina Puyol.
Mmetukuta na sisi wenyewe wabovu.
Coutoirs golipicha wa Chelsea awekewe net miguuni.Sijaielewa hii picha.View attachment 715086
Sasa kama mtu unapigwa na Bournemouth goli 3 afu unasema unaenda kumfunga barca unaakili timamu kweli?
zitoke wapi?UEFA tumefungwa goli 2 tu basi naona una hisia kali za kufungwa unatuombea mabayaMkuu hii kitu kweli kabisa. Ila leo mmetufunga ni kwa uzembe wetu mkikutana na timu ina foward line kali kama Liverpool nyie mbafungika. Barcelina hii ya hawa wanyakyusa Mwamtiti siyo ile ya kina Puyol.
Mmetukuta na sisi wenyewe wabovu.
Naona unatetemeka hadi unashindwa kuandika mkuu, poleMkuu hii kitu kweli kabisa. Ila leo mmetufunga ni kwa uzembe wetu mkikutana na timu ina foward line kali kama Liverpool nyie mbafungika. Barcelina hii ya hawa wanyakyusa Mwamtiti siyo ile ya kina Puyol.
Mmetukuta na sisi wenyewe wabovu.