UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Kwanini unasema Tanzania corona haijachanganya?Chanjo yenyewe ni maambukizi yaliyo control, so baada ya hapo hata ukipata maambukizi ambayo hayatojionesha, ambayo ndiyo majority, that is irrelevant.
Kwenye vifo kuwaelimisha, ukiwa na tabia ya kuvuka barabara huku umefumba macho, ukasema umevuka mara tatu na hivyo kuvuka hivyo ni salama, huku hujui kwamba umeweza kuvuka kwa bahati tu, hilo halimaanishi kwamba kuvuka barabara huku umefumba macho ni jambo salama.
Tanzania Covid bado haijachanganya, usichukulie kwamba ndiyo imeshafika peak sasa.