#COVID19 Fatma Karume: Hakuna chanjo ya lazima. Haki za Binadamu zinataka faragha hususan wa mwili wako

Mbowe anatujari sana watanzania anajua tutateketea tusipopewa Chanjo.
MaCCM si wakuwaamini tena.

Mbowe yupo sahii #TunatakaChanjo.

Mbowe ameshuhudia mtoto wake akiuguua COVID-19 kwa mda mrefu, na Bashite akifanya sherehe mtoto wa Mbowe kupata Corona.

Mbowe yupo kwenye msiba wa kaka yake kipenzi kwa kifo cha Corona.

Wakati nazika shangazi yangu kwa Corona alienilea na kunisomesha, mwendawazimu alikua anaingia makanisani na kusema uwongo kuwa Corona hamna, nimeumia sana.

Watanzania wapewe chanjo kuyakabili maambukizi.
Huko uingereza walikogewa chanjo full dose na sasa ugonjwa Kama umewekwa ndimu kukoje?
 
Narudia, katika hili, Mbowe kakosea sana na sijui nani kamshauri. Hivyo, ni vema arekebishe kauli au aifute kabisa.

Hizi chanjo bado zina utata mwingi hivyo si busara kuja na hiyo kauli unless kuna ambazo zineshathibitishwa kuwa hazina madhara kwa walio wengi na akumbuke watanzania wameshatishwa sana kuhusu hizi chanjo enzi za Mwendazake.
 
Kiukweli Freeman Mbowe amechemka sana ktk hili; nashauri arudi kuomboleza msiba wa kaka yake. Chanjo ya corona haiwez kuwa jambo la lazima. Anayetaka achanje asiyetaja asichanje
IMG-20210722-WA0026.jpg
 
Back
Top Bottom