Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,277
- 105,477
Kwanza kuna tofauti kati ya kusema kungekuwa na vifo vingi sana na kusema kuna vifo vichache.Unajuaje kuwa vifo ni vichache wakina hamna takwimu? Watanzania wengi hawafii hospitali, kitu ambacho kwa vyovyote hakitakuwa reflected kwenye takwimu. Watu wanakufa wakutosha tuu.
Amandla...
You are making a logical non sequitur.
Pili, naongelea vifo vinavyoripotiwa na jamii, vinavyoonekana katika familia.
Biut let's say vifo ni vingi.
Mimi siku zote nimekuwa nasema serikali iweke data wazi.
Na badala ya kusema watu ni lazima wachanjwe, watu wapewe data za vifo waone ukubwa wa tatizo, waoneshwe chanjo zinavyozuia vifo, waachiwe wajiongeze wenyewe kwa kuangalia vifo na kuamua wenyewe wapate chanjo.
Ukianza kulazimisha chanjo unaonesha umeshindwa kujenga ushawishi kwa hoja.