ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,991
- 51,832
Yanafichwa Kwa sababu walinunua Kwa bei kubwa ,hata Mimi ningefichaKwanin mafuta yafichwe?
Manake Kuna usimamizi mbovu
Yanafichwa Kwa sababu walinunua Kwa bei kubwa ,hata Mimi ningefichaKwanin mafuta yafichwe?
Manake Kuna usimamizi mbovu
Halafu nyie wajinga mnawauzia Bandari zetu ; si ndio watatumaliza!! Hivi sasa tu wanamaliza wanyama pori wetu huko mlikowauzia Loliondo!!!Waarabu wanazingua sana.
Sasa wanacut oil productions Ili tu washindane na Dollar licha ya kwamba vita vyao vinafeli.
Tupande fisi tu,haya ya wazungu hatutayaweza
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kupanda kwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano September ....
Kwa mfano tukiifuta ewura ,tutakuwa tumepungukiwa na kitu gani maana naona iazi yao ni kutangaza bei mpya tu sokoni, kazi ambayo inaweza kufanywa na wizara ya nishati.
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kupanda kwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano September...
unacheka nini sasa😆😆😆😆😆
Daladala, lift inatoshakutumia dala dala kwa afyaa aisee haku kwepeki
Kwahiyo unataka kitonga cha lift huku unawapa pole wenye magari. Komaa hukohuko kwenye daladala sasaDaladala, lift inatosha
Poleni wenye magari
Ova