Lakin mkuu huoni kua mteja hapangi bei siku zote.
Alaf ni soko la dunia limepanda asa tutalazimisha kununua bei ya zaman akati wao wamepandisha bei
Au hizi bei ni kwetu tuh tz
Mkuu swali ni kwamba kwanini yaadimike kukiwa na taarifa ya kupanda bei?
 
Mkuu swali ni kwamba kwanini yaadimike kukiwa na taarifa ya kupanda bei?

Ni suala la biashara mkuu wauza mafuta wao ni wafanyabiashara kama wengine wanataka faida.pia kitu kikipanda bei dunian kwa wao lazima wacheze kiakili bila ivo ni hasara na hakuna mtu anayependa hasara
Hata wewe ungekua kwenye position hio ungefanya ivo
 
Ifahamike mkurugenzi wa UWURA alisema mafuta yapo ya kutumia kwa siku 19 zijazo.

Chakushangaza wamepandisha bei za mafuta kwa maelezo kuwa soko la mafuta limekuwa juu dunia nzima.

Swali kwanini wamepandisha bei ya mafuta ambayo yalikuwa yamenunuliwa kwa matumizi ya siku 19 zijazo kabla hata ya soko la mafuta halijaongeza? FaizaFoxy The Boss tusaidieni majibu
 
1693989758273.png

1693989791289.png

1693989809399.png

1693989826319.png

1693989842393.png

1693989858928.png


1693989875379.png
 

Attachments

  • Cap_Prices_wef_6th_September_2023_Kiswahili_59_230905_2300371.pdf
    2 MB · Views: 1
Mpaka unauwezo wa kuagiza hiyo chuma basi msamiati wa mafuta kupanda bei hauwezi kukuathiri wala hutoona tofauti na awali.
hakika mkuu, nilitoa mfano mkubwa.. kuna ile hali ya mtu unakuta anaotea chuma flani.. alafu ana fail maintain.. unaona hadi gari nyingi bongo services mbaya.. mtu anekuwa na hiyo chuma ana uchumi imara sana
 
Haya mambo ya kuagiza bulk ime fail vibaya ina mianya ya rushwa sana ni wakati wa kurudi kulekule mwenye uwezo alete tu mafuta halafu washindane sokoni hakuna kitu bei elekezi tuache ushindani wa biashara maana mafuta bei zake ni soko la dunia ndiko bei inacheza kutegemea demend and supply na wale wanaitwa speculators ndio wanachochea bei kucheza. Kuna haja kubwa ya kuja na mfumo mpya hakuna tender kampuni inataka kuleta mafuta iombe lincence ikifika vigezo wapewe license ushindani uwepo. EWURA kazi iwe kujuwa tu mzigo unaingia lini na mafuta yako yakutosha basi, sio bei.
Shida ni kwamba hao hao wenye hizo kampuni ndo hao hao wako uko sirikalini.kwahiyo usitegemee jambo latofauti.
 
Walivyokuwa wanapondwa vichwa walikuja na kauli hatufai ni dikteta wanasiasa wakala vyao nasi tukaimba nao pambio.

Wacha watunishe mifuko yao wenda akili zitatukaa sawa.
 
Ameingia hiyo wizara lini? Mume wa spika ndio Boss wa Ewura.

Wenye vituo vya mafuta wanajuwa mapema tu bei inapanda uliza watu wa Tabora na Kigoma wana muda gani hawana mafuta yamefichwa kusubili bei mpya.

Swali wafanyabiashara wanajuwaje bei itapanda na siyo kushuka?

Ewura si ipo chini ya wizara ya Nishati ambayo sasa Biteko ndo waziri wake au sivyo? Ndo maana nasema Biteko kapewa jumba bovu.
 
Shida ni kwamba hao hao wenye hizo kampuni ndo hao hao wako uko sirikalini.kwahiyo usitegemee jambo latofauti.
Mimi nakubali kila mfumo unachangamoto zake lakini ni bora uwe na waletaji mafuta 10 kuliko mmoja. Hawa wafanya biashara sio wote wanapendana ushindani utakuwepo. Shida mtu mmoja alete mafuta halafu auzie wengine wote na zaidi uwapangie bei elekezi ndio shida. Chukuwa mfano umeenda sokoni unataka nyanya lakini wauzaji wote wa nyanya wananunua kwa mtu mmoja hivi kweli hata uzunguke soko zima unadhani utapata unafuu? tuache soko pana halafu to regulate tu.
 
Kama dar Bei ndo Hii,
Mlioko kagera na kigoma msipouziwa Lita elfu4 Sijui
Mkuu jambo usilojua huko Mikoani kuanzia Kakonko, Biharamuro, Geita, Kagera(mpakani) bei ya mafuta ipo chini sana 70% ya bei ya DSM.
Nadhani hata mpakani na Zambia bei chini kuliko Dar.
 
Kwani wewe ulikatazwa kununuwa na kuleta mafuta ya bei poa?

Unangoja nini badala ya porojo?
Hizo Cartels zilizokaa hapo juu napenyea wapi..
Na wala tatizo sio bei, tatizo ni kuficha ili bei ipande.

To be fair, hii sio Sawa kabisa.
 
Hata tungeenda kiholela nakumbuka Makamba alishasema ambae ana mafuta ya bei nafuu aje Ofisini Apewe kibali hakuna aliyeenda.

Hapa dawa ni ruzuku but njia nzuri ni kuwa na kampuni ya serikali tutafute marafiki zetu huko Nje watuuzie Kwa bei nzuri.

Kama.sio kuwatukana Waarabu na uhakika mama angeongea nao vizuri wangetuuzia mafuta Kwa bei chee
Kwanin mafuta yafichwe?

Manake Kuna usimamizi mbovu
 
Back
Top Bottom