Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Wakati gazeti la Nipashe likianzisha kura ya maoni miongoni mwa wana-CCM wanaotajwa kuwania kuteuliwa na CCM kuwakilisha chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao kugombea nafasi ya uraisi kupitia chama hicho na huku bwana Lowassa akiongoza kwa kura,nafikiri ni busara na sisi kupitia mtando huu wa JF kumpambanisha bwana Lowassa na Dr. Slaa katika kinyang'aricho hicho cha uraisi kwa mwaka 2015.

Tupige kura kwa kuandika jina tu la mgombea unaedhani atafaa kuwa raisi endapo itatokea hao wawili wanateuliwa kuviwakilisha vyama vyao katika uchaguzi mkuu ujao.

NB😛iga kura bila kuendesha campaign yoyote.
dr silaa
 
Sina uhakika kama hizi kura za hapa nazo zinahesabiwa lakini zile za siri Slaa anakimbiza mbaya El anapumulia maskio.
 
dr slaa rais wa watanzania wote,
lowassa ana washkaji wengi, nchi itaendelea kuendeshwa kwa kujuwana juwana..


dr slaa atosha.
 
Kwa hiyo umeshaamini sasa kwamba watu wanampigia Slaa kura halafu Magamba yanachakachua.

Hapana. wanaopiga kura humu huwa hawajitokezi kwenda kupiga kura mara uchaguzi unapofika. wanaishia kupiga kura kwenye keyboard tuu.
 
Hapana. wanaopiga kura humu huwa hawajitokezi kwenda kupiga kura mara uchaguzi unapofika. wanaishia kupiga kura kwenye keyboard tuu.

mkuu tunasubiri uboshaji wa daftari, 2015 saa 10 usiku tutakuwa kituoni, baada ya hapo hatua 100 kusuburi matokeo tukiwa na viroba vyetu na pepsi ya kuchanganyia kama mnavyotuita, eti wanywa viroba, thamani yetu mtaijua mwakani
 
mkuu tunasubiri uboshaji wa daftari, 2015 saa 10 usiku tutakuwa kituoni, baada ya hapo hatua 100 kusuburi matokeo tukiwa na viroba vyetu na pepsi ya kuchanganyia kama mnavyotuita, eti wanywa viroba, thamani yetu mtaijua mwakani

Mkuu ni rahisi sana kuyaongea hayo ukiwa humu JF.
 
Tayari imeishawekwa LINK rudi mwanzoni kabisa,hata matokeo unapata hapo.

Asante mkuu!!

Nimeiona, naona Invisible ameshafanya ya kwake. Hiyo njema sana kama wanasikiliza maombi ya wadau na kuyafanyia kazi haraka kiasi hisho!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom