Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Bavicha wamepiga mara kumi kumi. Alaf wakishinda hapa wana jifariji kuwa wana kwenda ikulu.

Tukija kwenye uchaguzi waka angukia pua utasikia wana sema usalama wa Taifa waliiba kura.

Ruttashobolwa, kwa ufahamisho tu; kati ya watu karibu milioni ishirini waliojiandikisha kupiga kura mwaka 2010, Jakaya Mrisho Kikwete aliambulia kura milioni tano tu! Ajabu ni kwamba pamoja na kupata robo tu ya wapiga kura, tume ya uchaguzi (CCM na TISS) ikamtangaza kama mshindi! Je umewahi kujiuliza kura zaidi ya milioni kumi na mbili zilipotelea wapi?
 
Last edited by a moderator:
Dr slaa

Rais chaguo la ukweli Rais wa miyoyo ya watanzania Rais mzalendo toka CHADEMA YATOSHA
CHADEMA MPANGO MZIMA
CHADEMA HABARI KAMILI
M4C-OPERATION PAMOJA DAIMA

Hakuna kulala mpaka kieleweke.
 
hapa jukwaani si salama kwani % kubwa ni wapenzi wa dr na chadema kwa ujumla. Nimeona hapo kwenye matoke dr kamfunika el na hata hao waliompa kura el ni jamaa wa buku 7 fc.

Cc: Ritz, @rejeo, faiza foxy , na njaa kali sixgate
 
Last edited by a moderator:
Bavicha wamepiga mara kumi kumi. Alaf wakishinda hapa wana jifariji kuwa wana kwenda ikulu.

Tukija kwenye uchaguzi waka angukia pua utasikia wana sema usalama wa Taifa waliiba kura.

Nawe piga mara mia mia, then the effect of multiple voting from CDM youth will be confounded
 
Dr. Slaa, W.P. Tumaini lililorejea la Watanzania.
 
Dr. Slaa

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
EL kishakataliwa na JK, asahau kufika ikulu, labda kama monduli ajenge tu jengo aite ikulu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom