Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Friends of Lowassa (Pasco & co) timu yake fungueni ID kisha mumpe Eddo kura maana naona tayari jahazi limezama.
 
Hii kura za Pro-Chadema JF na multiple IDs za kumwanga huwa zinamdanganya sana Dr.Slaa, kila siku anaibuka mshindi.

Akienda kwenye mahakama ya raia anashindwa vibaya mwisho wa siku analalamika Usalama wa Taifa wameiba kura zake.

Dr.Slaa hongera kwa ushindi wa JF watanzania wanakusubiri kwenye box la kura.
 
Slaa jamani. mnamlinganisha na fisadi! Slaa kwa salsa hakuna wa kumfikia nchi hii!
 
Hii kura za Pro-Chadema JF na multiple IDs za kumwanga huwa zinamdanganya sana Dr.Slaa, kila siku anaibuka mshindi.

Akienda kwenye mahakama ya raia anashindwa vibaya mwisho wa siku analalamika Usalama wa Taifa wameiba kura zake.

Dr.Slaa hongera kwa ushindi wa JF watanzania wanakusubiri kwenye box la kura.

Una ushahidi wa madai yako haya?!
 
Slaa alipaswa kupambanishwa na Obama. Huku ni kumdhalilisha.
 
Bavicha wamepiga mara kumi kumi. Alaf wakishinda hapa wana jifariji kuwa wana kwenda ikulu.

Tukija kwenye uchaguzi waka angukia pua utasikia wana sema usalama wa Taifa waliiba kura.
 
hii kura za pro-chadema jf na multiple ids za kumwanga huwa zinamdanganya sana dr.slaa, kila siku anaibuka mshindi.

Akienda kwenye mahakama ya raia anashindwa vibaya mwisho wa siku analalamika usalama wa taifa wameiba kura zake.

Dr.slaa hongera kwa ushindi wa jf watanzania wanakusubiri kwenye box la kura.

kwikwi kwi !mkuu Ritz wakiangukia pua kwenye box la kura utasikia wanafungua kiwanda chao cha uongo oooh usalama wa taifa wameiba kura zetu.

Namuonea huruma Dr.W.Slaa maana anadanganywa sana.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom