Mh onyesha busara ktk hili ndo maana nasema huwezi kuishi bila siasa,Lowassa anaweza kabisa kusimama akutoa hoja na majibu pamoja na maswali kwa Dr Slaa. Hawa ni kati ya watu ninaowakubali sana, Tz isingekuwa inapelekeshwa na kiinchi kama Rwanda mbele ya Slaa au Lowassa.
MWAKYEMBE, MAGHUFULI, ZITTO, lakini kwa sababu ya uhuni tu, tena uhuni uliopitiliza unaniletea SLAA na LOWASSA, basi nitampa LOWASSA.