Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,529
Sasa si mngetengeneza link ya kupigia kura kabisa? Waombe Mods wakusaidie mkuu. Ningelikuwa najua wanapatikanaje ningewaomba!
Tayari imeishawekwa LINK rudi mwanzoni kabisa,hata matokeo unapata hapo.
Sasa si mngetengeneza link ya kupigia kura kabisa? Waombe Mods wakusaidie mkuu. Ningelikuwa najua wanapatikanaje ningewaomba!
Lowassa Anatosha, huyu BABU akili imeshachoka sasa.
Dr.SLAA -SI MWIZI
Mkuu inawezekana lakini ni kazi ya zaidi.Mods wameshatusaidia kuhusu hilo.Mkuu ukiandika jina kura haihesabiwi?