Abdullahaman
Member
- Jan 4, 2013
- 5
- 0
Lowasa asingekuwa chama cha mauaji tungempima, lakini kwakuwa yupo huko lete mwingine wa kumlinganisha na JEMBE Dr. Slaa
kwani mlivyokuwa mnampigia zitto ilikuwa ndio mpo serius kuwa awe rais?Mnajiliwaza tu na hizi drama zenu Ndesamburo mwenyewe kageuka mpiga debe wa Lowassa nyie Chadema kata mna nini.
Nimeshindwa kupiga kura au daftari hili ni jipya na halina jina langu?
Slaa
Kwa hiyo umeshaamini sasa kwamba watu wanampigia Slaa kura halafu Magamba yanachakachua.hata poll ya 2010 humu JF Slaa alishinda so sitoshangaa akishinda tena humu kwa kishindo alafu uchaguzi wenyewe akaambulia asilimia 10 tuu.