Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Tuache ujinga , hakuna mtu anayestahili kuwa Raisi kutoka CCM labda kama tutakuwa tumelogwa mara ya pili tena kama ilivyotokea 2005! Lakini mara hii tutamung'ang'ania Mungu aliyehai aliokoe taifa hili maana indeed amesikia kilio cha watanzania kwa miaka hii 52 na hasa hii miaka 10 inayoenda kuisha 2015!

Mkuu,nchi hii ina wajinga wengi sana.

Hujaona ya huko Mbeya leo?!
 
Nimeshindwa kupiga kura au daftari hili ni jipya na halina jina langu?
Slaa
 
Wakati gazeti la Nipashe likianzisha kura ya maoni miongoni mwa wana-CCM wanaotajwa kuwania kuteuliwa na CCM kuwakilisha chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao kugombea nafasi ya uraisi kupitia chama hicho na huku bwana Lowassa akiongoza kwa kura,nafikiri ni busara na sisi kupitia mtando huu wa JF kumpambanisha bwana Lowassa na Dr. Slaa katika kinyang'aricho hicho cha uraisi kwa mwaka 2015.

Tupige kura kwa kuandika jina tu la mgombea unaedhani atafaa kuwa raisi endapo itatokea hao wawili wanateuliwa kuviwakilisha vyama vyao katika uchaguzi mkuu ujao.

NB😛iga kura bila kuendesha campaign yoyote.

Dr Slaa anafaa, hatumtaki fisadi sisi
 
Mkuu,nchi hii ina wajinga wengi sana.

Hujaona ya huko Mbeya leo?!

Mkuu kama unamwamini Mungu aliyehai ni wakati wakumg'ang'ania mpaka afanye. Haijalishi tuko wanagapi tunayemwamini huyu Mungu katika nchi hii lakini yeye ni mwaminifu atafanya!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom