Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Dr Slaa ana zidi kuchanja mbuga itakuwa hivihivi hadi magogoni.
 
JamiiForums Message
You did not select an option to
vote for. Please press back to
return to the poll and choose an
option before voting.

Hii msg siielewi!
 
mpaka dr slaa ana panda au A+ kila la heri safari ya magogoni hiyoooooooo kama vile namuona anaapishwa
 
Hizi kura za kionline haziaminiki. HATA ZILE ZA KAWAIDA NI YALE YALE! SIPIPGI
 
weka radio button watu
waVote kwa kuClick button

ila Dr. SLAA tayari
amejinyakulia kura yake hapa kwangu
 
Tuache ujinga , hakuna mtu anayestahili kuwa Raisi kutoka CCM labda kama tutakuwa tumelogwa mara ya pili tena kama ilivyotokea 2005! Lakini mara hii tutamung'ang'ania Mungu aliyehai aliokoe taifa hili maana indeed amesikia kilio cha watanzania kwa miaka hii 52 na hasa hii miaka 10 inayoenda kuisha 2015!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom