Young Tanzanian
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,736
- 293
Slaa baaas
LOWASA Atosha..lowasa ndiye RAIS 2015
Slaa baaas
Kwako wewe umeona suala la gongo ndio mhimili.
Magamba muda wenu umekwisha. Game over for all witches from lumumba.
LOWASA Atosha..lowasa ndiye RAIS 2015
Nyie mnataka kumfilisi huyu mzee, lakini mkumbuke nyie ndiyo mtakao beba lawama za familiya yake maana kitakachotokea baada ya 2015 kwa huyu mzee sijui itakuwaje!LOWASA Atosha..lowasa ndiye RAIS 2015
Tulieni dawa iingie vizuri mtapona tu haraka ya nini wakati bado umelazwa, Dr atakudischarge tu wakati ukifika?Mnajiliwaza tu na hizi drama zenu Ndesamburo mwenyewe kageuka mpiga debe wa Lowassa nyie Chadema kata mna nini.
unapambanisha WADHAMBI WATUPU.
dogs will never set foot at the STATE HOUSE