Massa
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 647
- 794
Sio popo...ni mfia dini .
Wakati wa Magufuli alimuunga mkono kila kitu Hadi udikteta..
Now anapinga kila kitu hata demokrasia mradi Rais sio wa dini yake...
Wewe jamaa siku hizi unaandika pumba sana. Sasa udini wa silaa uko wapi hapo? Kasema kisheria hakukua na katazo ilikua ni ubabe wa magifuli tu. Na sasa hakuna ruhusa maana sheria haikuweka katazo lolote. Usichoelewa nini chawa wa makamba na tanesco wewe