Huyu mzee kaona ushawishi wake umeshuka sana juu ya serikali ya mama Samia sasa anatafuta kiki na na beat ya kucheza na mama.Slaa anakunywa maji gani?’ Au ana import kutoka Kijiji pendwa kule Kagera?
NAMI namshsngaa Huyu Babu.Nilimuona akisifia Kabisa na kusema hata ulaya Baada ya uchaguzi Watu hujenga Nchi huacha Siasa..Huyu Babu usimwamini.Mbona alisifia nakusema siasa zina mda wake kisa ubarozi ujinga ni ugonjwa.
Mmmh hiki kibabu, nimechokaMnafiki sana huyu mzee.
Usicheze na njaa na kukimbiwa na mkeNAMI namshsngaa Huyu Babu.Nilimuona akisifia Kabisa na kusema hata ulaya Baada ya uchaguzi Watu hujenga Nchi huacha Siasa..Huyu Babu usimwamini.
Mwambieni hatujasahauHuyu mzee kaona ushawishi wake umeshuka sana juu ya serikali ya .