- Thread starter
- #201
Kweli wewe joka kwa hii hadaa kubwa umetisha wewe ni joka
..unanionea ndugu yangu.
Kweli wewe joka kwa hii hadaa kubwa umetisha wewe ni joka
Umemchongea Dr.Slaa kwa watanzania..unanionea ndugu yangu.
Kigeugeu. Kwanini hakuyasema wakati simba mwenyewe akiwa hai? Au njaa na kiu ya asali ya mama?
Wee joka.. onyesha tusie nilotukana hapa!! Acha za manyoka nyoka!?..nadhani hoja yake imewashinda kuipangua ndio maana mmeishia kumtukana.
Dkt. Slaa anasema katazo la Magufuli lilikuwa null void ab initio.
Yaani ni agizo haramu na halina tofauti na agizo ambalo halikuwepo.
Msikilizeni Dr hapa chini.
Umemchongea Dr.Slaa kwa watanzania
Hivi mfano, umegombana na jirani hamuongei kabisa alafu siku umevamiwa na majambazi akaja kutoa msaada utamkataza na kumwambia "acha unafiki jirani mbona umekuja kutoa msaada wakati hatuongei?"Dr Slaa ungekaa tu kimya ili kulinda heshima yako ndogo iliyobakia..endelea kula mihogo na kachumbari taratibu
Shetani amezeeka....Amakweli uzee ni ugonjwa.
KikikiDkt. Slaa anasema katazo la Magufuli lilikuwa null void ab initio.
Yaani ni agizo haramu na halina tofauti na agizo ambalo halikuwepo.
Msikilizeni Dr hapa chini.
Anawachokonoa apewe kibundaMbona wakati mwendazake, aliookuwa hai hakuyasema hayo
Wanasiasa bana
Ova