Wild man from the Hills
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,002
- 5,824
Nasikia baada ya vile vibango Us wanatuma drones kuipiga tz ili kumuokoa Mbowe!
Kumbe Unasikia Acha kuamini kila unachoambiwa lumumba
Nasikia baada ya vile vibango Us wanatuma drones kuipiga tz ili kumuokoa Mbowe!
Labda ananisha wahanga kwa akilizake huyo ShemWatanzania wa Diaspora ndio nani bwashee?
Bavicha bana mnasema Tanzania hamna uhuru wa habari wewe tena haitaki mimi niongee daaah.Mleta mada ni vyema ungeacha kuandika kuliko kuandika upuuzi na ujinga huu.
Kwanini hao waliomsindikiza SSH wasiwe ndio wajamaika waliohongwa fedha?
Unajua sio ngumu na haichukui muda kumsoma au kumjua mtu mpuuzi!
Ritz hizo pumba wanazokubalina nazo ndio zinamtisha Simbachawene hadi anatishia kudhibiti...🤣🤣🤣 bunge lao la katiba wanakubaliana pumba.
Kwa hili nakuunga mkono Ritz...naweza kuwa sikubaliani na hoja zako lakini nitakuwa tayari kutetea uhuru wako wa kuandika..Bavicha kama ambavyo ninyi mna uhuru wa kuandika muacheni Ritz nae aandike anachoamini!Bavicha bana mnasema Tanzania hamna uhuru wa habari wewe tena haitaki mimi niongee daaah.
hakuna demokrasia Tanzania. ni aibu mtu kuenda kusema uwongo UN.Ukweli ni upi?
Kwa vile Mbowe kakamatwa ndio hakuna democrasia?hakuna demokrasia Tanzania. ni aibu mtu kuenda kusema uwongo UN.
Dunia gani?...Nani asiyejua habari za Mbowe duniani? ...
una matatizo ya akiliRais anayezungumza uwongo hatakiwi kwenye jamii na hata duniani
hahahahaNasikia baada ya vile vibango Us wanatuma drones kuipiga tz ili kumuokoa Mbowe!
roho mbaya ni sifa kuu ya maskini na wewe ni mmoja wao, kula uwembeIdiot ndiyo maana nchi haiendelei. Kumpenda mtu is not a problem. Waje na issue za kumuunga mkono siyo kujishebedua kujipendekeza tu
Hawa nao hawajitambui kabisa......hivi hawajui ndugu zao waliowaacha Tanzania wanapigika vipi na maisha wakati kikundi cha wana CCM wananufaika kwa jasho lao?? Mambo mengine tuwe tunafanya kwa kufanya uchunguzi kwanza.......tunaichekesha Dunia.Wanaukumbi.
Watanzania wa Diaspora wakisindikizwa na friends of Tanzania waliofika kumpa sapoti Raisi wetu wakati alitoa speech huko UN.
Kuna kikundi cha watu kama watatu inasemekana ni Wajamaica wapewa pesa kubeba mabango ya Mbowe kimehangaika sana kuwarubuni lengo ni kumwondolea Rais Suluhu Samia uhalali wa kuongelea Demokrasia lakini bahati mbaya walikosa uungwaji mkono.
View attachment 1950403
Unategemea nini hawa ndiyo viongozi wa Chadema wanataka katiba mpya🤣🤣Kwa Tz wasomi ndo wanaongoza kwa ujinga na ndo maana huyv bibi tozo anasifiwa na walioko mitandaoni na hao diaspora wakati huku mtaani maskini watafutaji wanamwita pimbi. Wengine wakimuona kwenye Tv huzima kabisa, wakimsikia redioni wanazima kabisa. Anafaa kuitwa raisi wa mtandaoni a.k.a tozo lady.
Mkuu umeona wapi nataja chama cha siasa? Let's be free though we live in political world.Unategemea nini hawa ndiyo viongozi wa Chadema wanataka katiba mpya
vibrant democracy Tanzania-i laughed and laughed and laughed ,bonge la entertainment . Burudani iendeleee.kaongea kwa mara ya kwanza na kuongea uwongo eti vibrant democracy