Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,883
- 33,400
Nasikia baada ya vile vibango Us wanatuma drones kuipiga tz ili kumuokoa Mbowe!Mnajitekenya na kucheka wenyewe tulieni dawa iwaingie
Nasikia baada ya vile vibango Us wanatuma drones kuipiga tz ili kumuokoa Mbowe!Mnajitekenya na kucheka wenyewe tulieni dawa iwaingie
Hao unaouzungumza wameandaliwa na ubalozi wa Marekani na wengi ni wafanyakazi ndani ya ubalozi huo !IdiotWanaukumbi.
Watanzania wa Diaspora wakisindikizwa na friends of Tanzania waliofika kumpa sapoti Raisi wetu wakati alitoa speech huko UN.
Kuna kikundi cha watu kama watatu inasemekana ni Wajamaica wapewa pesa kubeba mabango ya Mbowe kimehangaika sana kuwarubuni lengo ni kumwondolea Rais Suluhu Samia uhalali wa kuongelea Demokrasia lakini bahati mbaya walikosa uungwaji mkono.
Utasikia tulikuwa elfu 6 kwenye space ya mariaMmebakia porojo tu tumeishawazoe.
Diaspora Mangekimambi alone aliisimamisha nchi nzima Na Sherehe za Muungano zikafutwa.
Mange alifanya maandamano ubalozi wa Tanzania Washington na wengine UK wakamuunga mkono.
Leo Chadema na Space mmeshindwa kuleta meaningful protest in UN
Ukweli ni upi?kaongea kwa mara ya kwanza na kuongea uwongo eti vibrant democracy
Sasa si uende ukajilipue umtoe kwa nguvu kuliko kujibaraguza hapa?Huo ndio upumbavu wenu. Wamepewe pesa na nani? Nani asiyejua habari za Mbowe duniani? Naomba usiniudhi na ujinga ujinga wenu hapa.
Nani anateswa?Hii ndio tabia ya kichawi, kujipendekeza, kujikomba na kufuta viatu vya wahalifu kwa makalio.
Umasikini uliotopea wa akili hupotosha uono sahihi na kufikiri.
Iwapo kuna binadamu wwngine wanateswa bure unapata wapi uhalali wa kuwasifia waonevu.
Huna tofauti na Intarahamwe kenge wewe
Kumbuka hata sisi huku tumechoka ,hata waliotuwakilisha Ni Wachovia wenzetu hakuna shida!Keanu kuna CCM aliyechoka??Kwani kuna CCM asiye na hela hapa Tanzania?Waliochoka ni wapinzani!Angalia walivyochoka najua uwezi kukubali.
Dikteta ndio alikuwa kubwa la waongo,Rais anayezungumza uwongo hatakiwi kwenye jamii na hata duniani
Na huo ndio upumbavu wa akili finyu.Sasa si uende ukajilipue umtoe kwa nguvu kuliko kujibaraguza hapa?
Kwani wewe kinacho kuuma ni kipi?MBOWE amefungwa Kama ulivyo tarajia furahi na familia kwakuwa MBOWE kufungua kwake kumemuondolea Mama yako kansa ya kizaziSasa si uende ukajilipue umtoe kwa nguvu kuliko kujibaraguza hapa?
Manka hizi hasira nenda kazioneshe pale mahakamani ili ujumbe ufike duniani kote.Kwani wewe kinacho kuuma ni kipi?MBOWE amefungwa Kama ulivyo tarajia furahi na familia kwakuwa MBOWE kufungua kwake kumemuondolea Mama yako kansa ya kizazi
Haha akina Mange jana wametukana leo marafiki, nimeona wale wengi watu wa SACCOS ambao wakati wa mwendazake walikuwa ndio mstari wa mbele kumpinga leo hii nawaona na vibendera vya kumkaribisha mama, kama huu si unafika sijui tuuiteje.Ni kama vile mama balozi kapiga PR ya nguvu kwa Diaspora wenzake ili kujitokeza kwa nguvu na vifulana vyao vya kuonyesha mageuzi mapya, sijui mama balozi kawa ahidi nini hao akina MangeWanaukumbi.
Watanzania wa Diaspora wakisindikizwa na friends of Tanzania waliofika kumpa sapoti Raisi wetu wakati alitoa speech huko UN.
Kuna kikundi cha watu kama watatu inasemekana ni Wajamaica wapewa pesa kubeba mabango ya Mbowe kimehangaika sana kuwarubuni lengo ni kumwondolea Rais Suluhu Samia uhalali wa kuongelea Demokrasia lakini bahati mbaya walikosa uungwaji mkono.
Mbona hukuwahi kutoa hayo mapongezi yako wakati w a Magufuli?Wanaukumbi.
Watanzania wa Diaspora wakisindikizwa na friends of Tanzania waliofika kumpa sapoti Raisi wetu wakati alitoa speech huko UN.
Kuna kikundi cha watu kama watatu inasemekana ni Wajamaica wapewa pesa kubeba mabango ya Mbowe kimehangaika sana kuwarubuni lengo ni kumwondolea Rais Suluhu Samia uhalali wa kuongelea Demokrasia lakini bahati mbaya walikosa uungwaji mkono.
Huyo mleta uzi anajaribu kujipendekeza kwenye awamu ya 6 maana wakati wa awamu ya 5 familia yao ilikuwa msambweniMleta mada tulia uandike vyema
Kila mtu ana haki ya kueleza kile anachoamini elewa Marekani wana Uhuru wa kujieleza sio kama Tanganyika.
Hata awe mtu mmoja anasikilizwa.
Visandarusi bado vipo?Mmebakia porojo tu tumeishawazoe.
Diaspora Mangekimambi alone aliisimamisha nchi nzima Na Sherehe za Muungano zikafutwa.
Mange alifanya maandamano ubalozi wa Tanzania Washington na wengine UK wakamuunga mkono.
Leo Chadema na Space mmeshindwa kuleta meaningful protest in UN
Kama wewe ulivyo choka enzi za MaguAngalia walivyochoka najua uwezi kukubali.
Idiot ndiyo maana nchi haiendelei. Kumpenda mtu is not a problem. Waje na issue za kumuunga mkono siyo kujishebedua kujipendekeza tuWanaukumbi.
Watanzania wa Diaspora wakisindikizwa na friends of Tanzania waliofika kumpa sapoti Raisi wetu wakati alitoa speech huko UN.
Kuna kikundi cha watu kama watatu inasemekana ni Wajamaica wapewa pesa kubeba mabango ya Mbowe kimehangaika sana kuwarubuni lengo ni kumwondolea Rais Suluhu Samia uhalali wa kuongelea Demokrasia lakini bahati mbaya walikosa uungwaji mkono.
View attachment 1950403
Mama yuko vizuri ee?Visandarusi bado vipo?