The wave
JF-Expert Member
- Feb 27, 2021
- 281
- 312
Utopolo tupuHappy Birth day Tanzania, 60 yrs.
Tumepiga hatua kubwa sana ktk nyanja zote;
1. Elimu=Elimu bure kuanzia primary hadi kidato cha 4, hivyo sasa watoto wengi wa kitanzania wanapata elimu bila kikwazo. Mikopo kwa elimu ya juu inatolewa na serikali bila matatizo hivyo watoto wengi wa kitanzania wanapata elimu ya juu bila kikwazo. Vyumba vya madarasa vimejengwa/vinajengwa ili kukidhi ongezeko la watoto wanao jiunga.
2 Afya= zahanati za kisasa zimejengwa kila kona ya nchi, pamoja na vifaa vya kisasa.
3. Uchumi= tupo ktk uchumi wa kati.
4. Miundo mbinu tuko safi sana.
n.k n.k
Tanzania oyeeee