Jina la Ubatizo ni TANZANIA sio TANGANYIKA.Tunataka Tanganyika yetu, ndio nchi iliyopata uhuru. Tarehe 9/12/1961.
Jina la Ubatizo ni TANZANIA sio TANGANYIKA.Tunataka Tanganyika yetu, ndio nchi iliyopata uhuru. Tarehe 9/12/1961.
Not possibleWanabodi
leo tunapo sherehekea maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru, ni maadhimisho ya Tanzania, japo iliyopata uhuru ile Desemba 9, ni Tanganyika na sio Tanzania, maadhimisho ya leo ni maadhimisho ya Tanzania...
acha ufala Tanganyika sio TanzaniaJina la Ubatizo ni TANZANIA sio TANGANYIKA.
Tungepata viongozi wanaofikiri tungekuwa mbali zaidi.Happy Birthday Tanzania.
Miaka 60 sio mchezo....tumefanya mengi mazuri na kazi bado inaendelea.
tunafahamu kuwa maendeleo sio kama vile kujaza maji kwenye ndoo......bali maendeleo ni jambo endelevu.........kazi iendeleee....
Hichi ulichoandika kimejaa upotoshaji mkubwa. Kuweka kumbukumbu sawa hapa JF.Wanabodi
leo tunapo sherehekea maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru, ni maadhimisho ya Tanzania, japo iliyopata uhuru ile Desemba 9, ni Tanganyika na sio Tanzania, maadhimisho ya leo ni maadhimisho ya Tanzania...
Kwa Mtazamao wangu mimi leo ni kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika mengine ni siasa tu, Dec 9 1961 hakuwa na Nchi inayoitwa Tanzania Bara.Mdogo wangu Paschal nimeona unaungana na hoja ya Uhuru wa Tanzania SIYO Tanganyika. Naomba utusaidie kujua mambo yafutayo;
1. 9/12/1961 kulikuwepo na Tanzania?
2. Je Tanganyika au Tanzania Bara imewahi kubadili jina ikajiita Tanzania? If yes,lini na kwa hati gani?
3. Tukisema Uhuru wa Tanzania tunamaanisha hata Zanzibar walipata Uhuru wao 9/12/1961?
4. Kama Zanzibar inatarehe yake yakupata Uhuru ambayo naamini ni siku ya Mapinduzi, tunasemaje Tanzania ilipata Uhuru mwaka 1961 tukijua kilichopata Uhuru ni sehemu tu ya Tanzania ambayo ni Tanganyika?
5. Kwa uelewa wako Mapinduzi ya Zanzibar yanaweza kutambua kama siku ya Uhuru ya Zanzibar?
6. Hoja Yako ya kusherekea ya Sasa ( present) umeitoa kwenye nyaraka gani?
Nauliza haya baada ya kuona mada zako zote zimeacha lakuna kwenye maeneo hayo: Nikutakie siku njema ya Uhuru wa Watanganyika
Muungano wetu na Zanzibar ni wa kindugu, au kirafiki? ukipata jibu la hilo swali naamini litajibu swali lako.Zanzibar inahusika na maadhimisho ya leo? If yes, why/how? Naomba kufahamishwa tafadhali.
Ila Paskali 🤣🤣🤣Wanabodi
leo tunapo sherehekea maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru, ni maadhimisho ya Tanzania, japo iliyopata uhuru ile Desemba 9, ni Tanganyika na sio Tanzania, maadhimisho ya leo ni maadhimisho ya Tanzania, yaani Tanzanian National Day, na sio Tanganyika. Kumbukumbu ndio ya Uhuru wa Tanganyika lakini maadhimisho na sherehe ni ya uhuru wa Tanzania!.
Kufuatia baadhi ya watu kuwa kwenye sintofahamu ni maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika ama Tanzania?.
Hivyo nimejitolea kutoa somo hili ambalo naamini litakuwa ni very benefisho kwako.
Wajameni ni katika kukumbushana tuu kuwa maadhimisho ya leo ni ya Uhuru wa Tanzania, na sio wa Tanganyika!.
Nawatakia sikukuu njema ya Uhuru na Jamhuri.
Paskali
Kwahiyo Tanzania bado inatawaliwa?Ni Uhuru wa Tanganyika.
Tanzania ni pamoja na Zanzibar ambao wao wanasherehekea 12 January.
Tanzania haijawahi kupata Uhuru bali ilipata katiba yake mwaka 1977
Kwahiyo shida ni jina tu?Mambo mengine ni kujiaibisha na kujishushia hadhi ya mtu kwenye jamii. Mambo mengine yako wazi na yaki kwenye kumbukumbu za maandishi na hakuna siku tuliyosikia kubadilika kwa kilichokuwepo tangu mwanzo.
Katika historia ya dunia hakuna nchi ilipata uhuru inaitwa TANZANIA.
Nchi iliyopata uhuru kwa tarehe hii na kwenye ardhi hii ni TANGANYIKA.
TANZANIA inatakiwa kusheherekewa siku ya MUUNGANO wa TANGANYIKA na ZANZIBAR.
Tusiyumbishwe na hulka zetu na kuoneana aibu. Kama kuna ushahidi dhidi ya hayo hapo juu yalete.
Hata wenzio wanakushangaa
View attachment 2037920
Huyu Pasco asipotoshe tunasherekea Uhuru wa Tanganyika wala siyo Uhuru wa Tanzania. Ukweli utabaki hivyo mpaka mwisho wa Dunia. Pasco usipojua kaa kimya nayo ni busara, kuliko kui paka tope taaluma yako hauitendei haki. Kutaka madaraka kusikutese ukafikiria kwa tumbo badala ya kichwa. Nasisitiza TUNASHELEKEA UHURU WA TANGANYIKA.Mdogo wangu Paschal nimeona unaungana na hoja ya Uhuru wa Tanzania SIYO Tanganyika. Naomba utusaidie kujua mambo yafutayo;
1. 9/12/1961 kulikuwepo na Tanzania?
2. Je Tanganyika au Tanzania Bara imewahi kubadili jina ikajiita Tanzania? If yes,lini na kwa hati gani?
3. Tukisema Uhuru wa Tanzania tunamaanisha hata Zanzibar walipata Uhuru wao 9/12/1961?
4. Kama Zanzibar inatarehe yake yakupata Uhuru ambayo naamini ni siku ya Mapinduzi, tunasemaje Tanzania ilipata Uhuru mwaka 1961 tukijua kilichopata Uhuru ni sehemu tu ya Tanzania ambayo ni Tanganyika?
5. Kwa uelewa wako Mapinduzi ya Zanzibar yanaweza kutambua kama siku ya Uhuru ya Zanzibar?
6. Hoja Yako ya kusherekea ya Sasa ( present) umeitoa kwenye nyaraka gani?
Nauliza haya baada ya kuona mada zako zote zimeacha lakuna kwenye maeneo hayo: Nikutakie siku njema ya Uhuru wa Watanganyika
Kama imefikia Kutamka neno TANGANYIKA mnaona tabu mpaka siku ya UHURU wa Tanganyika mnasema Tanzania Kama sio UZUZU ni nini?Watu mna maneno Yani mnasema kabisa eti Tanganyika kaolewa kwa Zanzibar na ndo Mana kakubali hadi kubadilisha jina lake,eti kisa kapenda hadi kafa kaoza ndo Mana kakabidhi kila kitu kwa Mme wake it means kashindwa hadi kujitawala hivo kaamua kumpa Mme wake amtawale.
Hii ni dharau kubwa maana ni zaidi ya umbumbumbu,nimeumia kwa kweli wachache wanatutawala wengi as if sisi huku Tanganyika ni mazuzu na sisi huku hatuluhusiwi kuongoza kwao ,huu ujinga ufike mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haimake sense kwako kwasababu umekubali kupoteza historia yako.Jina ni utambulisho tu ila hapa hoja sio jina bali hilo jina linamtambulisha nani.kwasababu bila utambulisho maana yake hicho kitu hakipo.je ni kweli tanganyika haipo?Kwahiyo shida ni jina tu?
Tanganyika na Tanzania?
Tunamaanisha Uhuru wa nchi, naamini tungekuwa na serikali moja tungeadhimisha siku ya leo.
Hatuna Tanganyika kwa sasa, huwezi kusema uhuru wa Tanganyika it's no sense...
Anyway kuelewa inahitaji uwe great thinker.